Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hiyo omba ya msamaha inatia hasira.
Atalia mwezako shauri yako.
usinichonganishe na shosti yangu jamani mie nimejaribu kuwa mnyenyekevu kabisa kama ambavyo wanaume wengi humu wanataka wanawake tuwe sasa yeye akishikwa na hasira akakumbatie transformer tu hakuna namna
 
Hivi huyu dada humu alienda wapi?

Jf inameza watu
IMG-20191003-WA0026.jpeg
IMG-20191003-WA0023.jpeg
 
we acha tu mzee
ila si tunasema haina makombo mzee
Na haitakuja kuwa na makombo!! Uzuri wa papuchi hata kama imetoka kutafunwa mda mfupi ulopita ukikutana nayo utamu unakuwa level ile ile ya mwanzo!! MUNGU saidia nisije kutana na papuchi ya JF! Haki ya MUNGU atakuja kufungua uzi hapa!!
(Mkwara tu)
 
Mate just calm yo nerves down...

Hii ni chit chat tu, ukianza majibizano na hawa warembo wetu humu uzi utavurugika huu...

Natumai you're gentleman enough na utakuwa umenipata...

Cheers!!
Hahah nimemjibu mwenzenu huko juu najua mnatamani kunifahamu na pia kufahamu ninapokojolea ila ndio hivyo tena haiwezi tokea...

Niwe Mkweli tu, yule sio mtu wangu ni picha nilichukua mtandaoni huko na nilipost kimakusudi nisike mtakuja na hoja gani na ninmegundua kitu kwenu, nitabaki nacho moyoni siwezi weka hapa kuleta mgongano kwenye nyuzi za watu...

Kuhusu Itel, ni mmoja wapo ya simu zangu ndogo ninazotumia kwa sababu inakaa na charge muda mrefu, na kuhusu smartphone natumia simu yenye bei tu sina haja ya ku prove hilo kwa sababu wengi wenu najua mnatumia tecno tu ndio maana picha zenu haziko clear kiasi hicho...

Na kingine, kuhusu kazi wala sina haja ya kujisifia sehemu ninazoingia hapa Nchini itachukua muda pengine koo/familia yenu kuja kuingia, na nimegundua humu wadada wengi hamna kazi zinazoeleweka ndio maana mko online 24/7 mjitahidi kufanya kazi pengine mtaepuka hii psychology ya kushinda mtandaoni masaa yote hayo...

Kuhusu mama watoto wangu sijui hata kama umemsogelea kielimu, kiuchumi, kifikra n.k... Jua tu yuko X100 ahead of you...

NB: Ukitaka picha zaidi za huyo mdada naweza kukupa jina ukaenda kumtazama huko mtandaoni..
 
Na haitakuja kuwa na makombo!! Uzuri wa papuchi hata kama imetoka kutafunwa mda mfupi ulopita ukikutana nayo utamu unakuwa level ile ile ya mwanzo!! MUNGU saidia nisije kutana na papuchi ya JF! Haki ya MUNGU atakuja kufungua uzi hapa!!
(Mkwara tu)
hahahahaha
 
Back
Top Bottom