Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kwanza picha linaanza unavyofungua account yako..sisi ilikuwa SR,nyie mnaita ARIS sijui
Mara paah!unachungulia unaona rangi nyekundu na kanyota unaweza tupa simu chini
Aiseeunajua hapa tayari
Nyie Kuna watu watakuja kufa kwa magonjwa ya moyo huko chuo
udom sr....


sijawai angalia matokeo nikiwa sijalewa...
lazima nilewe ndio naangalia bila presha

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
udom sr....


sijawai angalia matokeo nikiwa sijalewa...
lazima nilewe ndio naangalia bila presha

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Mimi huyo mdudu SR,licha ya kwamba nilimfungua mara nyingi Sana ila sijawahi kumzoea
Matokeo yakija yaani kifungua Sr ni kimbembe,,, nakumbuka mara ya mwisho naangalia aisee ,kabla sijafungua nilisweat mikono yote
Kwanza watu watoa taarifa wa group la darasa..oyaa sr imetema.
Tumbo lilivuruga....na nilikuwa na stress zangu kibao, nikasema siangalii leo.
Nikajikaza bila kufungua,ilipofika usiku si nikaanza kuiota,,nyotanyota haziishi kichwani..usingizi wa mang'amung'amunikawahi saa 11 nikafungua at least nafsi ikafurahi.
 
Mimi huyo mdudu SR,licha ya kwamba nilimfungua mara nyingi Sana ila sijawahi kumzoea
Matokeo yakija yaani kifungua Sr ni kimbembe,,, nakumbuka mara ya mwisho naangalia aisee ,kabla sijafungua nilisweat mikono yote
Kwanza watu watoa taarifa wa group la darasa..oyaa sr imetema.
Tumbo lilivuruga....na nilikuwa na stress zangu kibao, nikasema siangalii leo.
Nikajikaza bila kufungua,ilipofika usiku si nikaanza kuiota,,nyotanyota haziishi kichwani..usingizi wa mang'amung'amunikawahi saa 11 nikafungua at least nafsi ikafurahi.
Kuna mtu alikuwa anadai akiambiwa matokeo tayari tumbo linavuruga anapiga kambi chooni😀 mbaba mmoja yeye alidai tangu aingie chuoni amedevelop tatizo la pressure kupanda🤣🤣 huko chuoni kuna watu wanapata taabu tupu😅😅.

Sema kuna wanachuo huwa ni wazembe aisee yani karibia kila semista wana supp.
 
Kuna mtu alikuwa anadai akiambiwa matokeo tayari tumbo linavuruga anapiga kambi chooni mbaba mmoja yeye alidai tangu aingie chuoni amedevelop tatizo la pressure kupanda huko chuoni kuna watu wanapata taabu tupu.

Sema kuna wanachuo huwa ni wazembe aisee yani karibia kila semista wana supp.

Sr kitu kingine kabisa jamani.
Unavuja jasho hadi mikononi...

Unajua kinachoogopesha ni ile kuwaza kuna somo lilikujia vibaya UE, Sasa ukipiga hesabu za haraka haraka inaogopesha
Japo mwisho wa siku unakuta unafungua mambo yako poa tu!

Sup kila semester aisee ni mateso Sasa hayo
 
.
20210314_091848.jpg
 
Back
Top Bottom