cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,299
Mbona sukuma wiki na chainizi ni tofauti mom. Au mie ndo sielewiSukumawiki ni chainizi![]()
Mbona sukuma wiki na chainizi ni tofauti mom. Au mie ndo sielewiSukumawiki ni chainizi![]()
udom sr....Kwanza picha linaanza unavyofungua account yako..sisi ilikuwa SR,nyie mnaita ARIS sijui
Mara paah!unachungulia unaona rangi nyekundu na kanyotaunaweza tupa simu chini
Aiseeunajua hapa tayari
Nyie Kuna watu watakuja kufa kwa magonjwa ya moyo huko chuo




hii status nimeweka mimi ila kila muda naiangalia nacheeeeka
Itakuwa hajawahi
Daah dogo hajawahi kula nini hiyo kitu
Mimi huyo mdudu SR,licha ya kwamba nilimfungua mara nyingi Sana ila sijawahi kumzoeaudom sr....
sijawai angalia matokeo nikiwa sijalewa...
lazima nilewe ndio naangalia bila presha
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app





,kabla sijafungua nilisweat mikono yote



nikawahi saa 11 nikafungua at least nafsi ikafurahi.







Kuna mtu alikuwa anadai akiambiwa matokeo tayari tumbo linavuruga anapiga kambi chooni😀 mbaba mmoja yeye alidai tangu aingie chuoni amedevelop tatizo la pressure kupanda🤣🤣 huko chuoni kuna watu wanapata taabu tupu😅😅.Mimi huyo mdudu SR,licha ya kwamba nilimfungua mara nyingi Sana ila sijawahi kumzoea
Matokeo yakija yaani kifungua Sr ni kimbembe,,, nakumbuka mara ya mwisho naangalia aisee,kabla sijafungua nilisweat mikono yote
Kwanza watu watoa taarifa wa group la darasa..oyaa sr imetema.
Tumbo lilivuruga....na nilikuwa na stress zangu kibao, nikasema siangalii leo.
Nikajikaza bila kufungua,ilipofika usiku si nikaanza kuiota,,nyotanyota haziishi kichwani..usingizi wa mang'amung'amunikawahi saa 11 nikafungua at least nafsi ikafurahi.
Si nilikuwa namzingua tu stoicMbona sukuma wiki na chainizi ni tofauti mom. Au mie ndo sielewi


Tafadhali tafadhali.Mungu wetu mwaminifu usiruhusu lolote baya litokee..I pray 🥺🥺🥺Huyu kigogo anatia watu kimuhe muhe cha kujua yanayojiri ndani ndani huko. AaaaahView attachment 1724826
Kuna mtu alikuwa anadai akiambiwa matokeo tayari tumbo linavuruga anapiga kambi choonimbaba mmoja yeye alidai tangu aingie chuoni amedevelop tatizo la pressure kupanda
huko chuoni kuna watu wanapata taabu tupu
.
Sema kuna wanachuo huwa ni wazembe aisee yani karibia kila semista wana supp.













Tafadhali tafadhali.Mungu wetu mwaminifu usiruhusu lolote baya litokee..I pray![]()
AmenKitu...mbu..aMorning guysView attachment 1725013
YeahKitu...mbu..a
Safi,naona umekimega kiswaga Fulani hvYeah
NdioKitu...mbu..a