Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mambo kama ya ngosha T Elly
IMG_20210313_202659_6.jpg
 
MITHALI 13

1 Mwana mwenye hekima husikiliza mausia ya babaye;
Bali mwenye dharau hasikilizi maonyo.
2Mtu atakula mema kwa matunda ya kinywa chake;
Bali nafsi ya mtu haini itakula jeuri.
3 Yeye alindaye kinywa chake huilinda nafsi yake;
Bali afunuaye midomo yake atapata uharibifu.
4Nafsi ya mtu mvivu hutamani asipate kitu;
Bali nafsi ya mwenye bidii itanenepeshwa.
5 Mwenye haki huchukia kusema uongo;
Bali mtu mbaya huwa karaha, hupatwa na aibu.
6 Haki humlinda yeye aliye mnyofu katika njia yake;
Bali ubaya humwangusha mwenye dhambi.
7Kuna mtu anayejitajirisha, lakini hana kitu;
Kuna anayejifanya kuwa maskini, lakini ana mali nyingi.
8Fidia ya nafsi ya mtu ni utajiri wake;
Bali mtu maskini hasikii ogofyo lolote.
9Nuru ya mwenye haki yang'aa sana;
Bali taa ya mtu mbaya itazimika.
10Kiburi huleta mashindano tu;
Bali hekima hukaa nao wanaoshauriana.
11 Mali iliyopatikana kwa haraka itapunguka;
Bali yeye achumaye kidogo kidogo atazidishiwa.
12Kilichotarajiwa kikikawia kuja, moyo huugua.
Bali haja ya mtu ikipatikana, ni mti wa uzima.
13 Kila anayelidharau neno hujiletea uharibifu;
Bali yeye anayeiogopa amri atapewa thawabu.
14 Sheria ya mwenye akili ni chemchemi ya uzima,
Ili kuepukana na tanzi za mauti.
15Ufahamu mwema huleta upendeleo;
Bali njia ya muasi huangamiza.
16 Kila aliye na busara hutenda kazi kwa maarifa;
Bali mpumbavu hueneza upumbavu.
17Mjumbe mbaya huanguka maovuni;
Bali mjumbe mwaminifu ni afya.
18 Umaskini na fedheha zitampata yeye akataaye kurudiwa;
Bali yeye aangaliaye maonyo ataheshimiwa.
19Haja iliyopatikana ni tamu nafsini mwa mtu;
Bali kujitenga na maovu ni chukizo kwa wapumbavu.
20Nenda pamoja na wenye hekima, nawe utakuwa na hekima;
Bali rafiki wa wapumbavu ataumia.
21 Uovu huwafuatia wenye dhambi;
Bali mwenye haki atalipwa mema.
22 Mtu mwema huwaachia wana wa wanawe urithi;
Na mali ya mkosaji huwa akiba kwa mwenye haki.
23 Chakula kingi chapatikana kwa ukulima wa maskini;
Bali viko viharibiwavyo kwa sababu ya dhuluma.
24 Yeye asiyetumia fimbo yake humchukia mwanawe;
Bali yeye ampendaye humrudi mapema.
25Mwenye haki hula akaishibisha nafsi yake;
Bali tumbo la mtu mbaya litaona njaa.
 
Ulie siku nzima wakati semester inakutazama
Mimi nilipata semester ya kwanza ya mwaka.Nilirudi semester nyingine nikijua kabisa nina sup ya semester iliyopita

Hiyo soma yake kama mwehu yaani
Nikasema wallah afe kipa afe beki sipati tena aisee
Yaan inaogopesha mno. Kwa kweli
 
Back
Top Bottom