Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,254
Teh

Dogo la Billy wewe
Teh

Mboga za majani na nyanya sio kiivo, kitunguu tu mchezo unaisha.Yah
Inakuwa nzuri...japo Leo nimeinyima nyanya
Acha kabisa


Mimi nikiweka karanga napenda niweke na nyanyaMboga za majani na nyanya sio kiivo, kitunguu tu mchezo unaisha.
Nimejikaribisha niambie nije wapi?
MbeyaNimejikaribisha niambie nije wapi?
Asante sipo mbali sana ntakaribia soon nije kula sukumawiki.Mbeya
Karibu
Pandisha nione smile Anna.
So sad yaan kipenziiih
Yaan inaogopesha mno. Kwa kweliUlie siku nzima wakati semester inakutazama
Mimi nilipata semester ya kwanza ya mwaka.Nilirudi semester nyingine nikijua kabisa nina sup ya semester iliyopita
Hiyo soma yake kama mwehu yaani
Nikasema wallah afe kipa afe beki sipati tena aisee
Mimi nilisema nikidisco hata home sirudi
Nadhani ingetokea hivyo ningekuwa kichaa sasahivi.



wee cc kichaa tena lol.Chinese mnatia karanga? Mie mboga yeyote ikitiwa karanga tyuuh bas siri, hata kuiona tyuuh sitaki, mnawezaje nyie, hata home huwa nawashangaa San wenzangu. Lol
Ndiyowee cc kichaa tena lol.
Crush wangu uyo💜❤️,
Muulize Karma atakuambia utamu wa hiyo mboga ya karangaChinese mnatia karanga? Mie mboga yeyote ikitiwa karanga tyuuh bas siri, hata kuiona tyuuh sitaki, mnawezaje nyie, hata home huwa nawashangaa San wenzangu. Lol

Umenoga na vazi la shefon, ila rangi hiyo sasa sio nzuri, ungepatia ile light blue, au blue ocean. Ungedamshije sasa.
HahahaPandisha nione smile Anna.
Rangi ya chama tawala hiyoUmenoga na vazi la shefon, ila rangi hiyo sasa sio nzuri, ungepatia ile light blue, au blue ocean. Ungedamshije sasa.


