cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,299
Ndiyo
Mida hii ningekuwa chizi naokota makopo.
Kuna kipindi tu nilikuwa Kama chizi siyo chizi..mambo mengi hadi nikawa kama akili inaruka.




umenikumbusha nikiwa advance, kuna kipindi niliona mambo magumu afu yanani elemea, yaan nilikua km mwehu fulan hivi, nlivorudi home wote walikua wananshangaa nilikonda na kubaki mifupa tyuuh. 





, 

mie sitaki uchokozi wako, si unipe ile BMW uone km haitaota, siku 2 tyuuh furushi hilo. 
