Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375












ninangoja mpenzi
Kaeni kwa kutulia hivyohivyo
Oneni ninavyowaletea mkwepu jukwaani












ninangoja mpenzi
Kaeni kwa kutulia hivyohivyo
Oneni ninavyowaletea mkwepu jukwaani
Yaan mie kusukuma ndinga ndo starehe yangu, nikiwa nakanyaga mafuta pale mbele, naiona dunia yote yangu..
Kuna mtu kashajua udhaifu wangu, akiona tyuuh sipo sawa ananipa funguo ya ndinga, oooooooh hapo sasa moyo unaitikia "ewaaaaaaaah".

akununulie kabisa sio anakuonjesha tu🤣🤣🤣Eti ni kweli tiali?
Bado kidogo ajeMida yake ibakaribia





Eti ni kweli tiali?
Mtasubiri Sana


😄😄😄Mtasubiri Sana
Hovyooo!!!
Mkuu usinifanye niuze kiwanja changu cha Goba niwahi bar kushangilia!😄😄😄Ishara tu inatosha
Mpka muda huu!! kasha kuangusha hyoBado kidogo aje
Angejua nimemsubiri kwa kitambo![]()
Unataka umpe zawadi ya ushindiTunafanye sasa mamaangalau aandike kitu jmn..
Ujue toka najiunga jf nimekuwa makin sana kwa member wote wa humu, wapo tulio tanian matani ya hapa na pale,
Lakn toka nimjue hyo mjamaa basi ata ukiniamsha usingizini uniulize kwa wanaume wa jf wote ukipewa nafs ya kuchagua unae mpenda utamchagua nn aiseee
Hyo jamaa ata angewekwa namba ya mwisho ningeakikisha namfikia wallah tena..
Pole sana mkuu Mungu akujalie upone haraka.Wakuu Niko admitted Dodoma General hospital since last Sunday, abdominal pains. Prayers zenuView attachment 1722921
Dah pole sanaa mdau tunakuombea kwa hakikaWakuu Niko admitted Dodoma General hospital since last Sunday, abdominal pains. Prayers zenuView attachment 1722921
Pole sana mkuu. Mungu ni mwema utapona tu.Wakuu Niko admitted Dodoma General hospital since last Sunday, abdominal pains. Prayers zenuView attachment 1722921
Subra yavuta heriMpka muda huu!! kasha kuangusha hyo

Pole bossWakuu Niko admitted Dodoma General hospital since last Sunday, abdominal pains. Prayers zenuView attachment 1722921