Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Umenisusa halafu eti naskia hunipendi siku hizi,

umeanza lini ujasiri huo wa kuninyutia mwaka mzima? haya mimi

mdogo ako ni mzima sana sana ila sasa nimekumiss hilo ndio tatizo...
Mwee ni nani huyo anayekuambia maneno ya kikatili namna hiyo kuwa mimi sikupendi nataka nimjue

Nimekumiss pia mdogo wangu ila tu ndiyo sijui siku hizi unajificha kichochoro gani yani hata sikuoni eti
 
Mwee ni nani huyo anayekuambia maneno ya kikatili namna hiyo kuwa mimi sikupendi nataka nimjue

Nimekumiss pia mdogo wangu ila tu ndiyo sijui siku hizi unajificha kichochoro gani yani hata sikuoni eti
Watakua wananilisha maneno na hivi sipendi uchonganishi naomba nisikutajie

Maana nakujua ugomvi wako unakimbiliaga mawe,sina hela yakuhudumia mtu mimi.

Ila wewe nahisi hujanmiss,iweje unajua kona gani napatkana unashndwa hata jipitisha nikuite kweliiii?
 
Mimi nikijaribu kumpenda Karma!
7655.jpg
 
Back
Top Bottom