Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Haahaha
Umenifungua akili
Tunafanye sasa mama[emoji7] angalau aandike kitu jmn..

Ujue toka najiunga jf nimekuwa makin sana kwa member wote wa humu, wapo tulio tanian matani ya hapa na pale,

Lakn toka nimjue hyo mjamaa basi ata ukiniamsha usingizini uniulize kwa wanaume wa jf wote ukipewa nafs ya kuchagua unae mpenda utamchagua nn aiseee

Hyo jamaa ata angewekwa namba ya mwisho ningeakikisha namfikia wallah tena..
 
Tunafanye sasa mama[emoji7] angalau aandike kitu jmn..

Ujue toka najiunga jf nimekuwa makin sana kwa member wote wa humu, wapo tulio tanian matani ya hapa na pale,

Lakn toka nimjue hyo mjamaa basi ata ukiniamsha usingizini uniulize kwa wanaume wa jf wote ukipewa nafs ya kuchagua unae mpenda utamchagua nn aiseee

Hyo jamaa ata angewekwa namba ya mwisho ningeakikisha namfikia wallah tena..
Woyoooooooooo
My brother mkwepuuuuuuuuuu
Usijali,atakujibu
Bro wangu sana huyu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Zari la mentali hili[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]

mkwepu jr [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Leo nyota imekuwakia mwanangu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mkwepuuuuuuuuuu up
Wewe siyo robot rafiki yangu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Binti mwenye moyo wa nyama amekuzimikia huku[emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960]
Mrembo balaaa..


Please mwanangu mkwepu jr usiniangushe,usiliangushe taifa pia...
Sema neno bwana mkwepu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukikausha nitakufwata hadi huko ulipo[emoji1787]
 
Hmn nyongeza aisee fanya maajabu tu
Wala usijali[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Atakuja kutia neno humu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Anasemaga yeye simu yake kali mno na akiandika inaweka ile signature chini
Mf"sent by using my iphone12"

Sasa yeye hiyo kasumba inamboa[emoji23]
Ndiyo maana hapendi kabisa kuandika


Usiniamini mama[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nakutania
 
Mkwepuuuuuuuuuu up
Wewe siyo robot rafiki yangu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Binti mwenye moyo wa nyama amekuzimikia huku[emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960]
Mrembo balaaa..


Please mwanangu mkwepu jr usiniangushe,usiliangushe taifa pia...
Sema neno bwana mkwepu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukikausha nitakufwata hadi huko ulipo[emoji1787]
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120] Ukifanikiwa ilo wallah njoo pm unipe no nikupe ata ya soda upote koo
 
Back
Top Bottom