Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Haahaha
Umenifungua akili
Tunafanye sasa mama angalau aandike kitu jmn..

Ujue toka najiunga jf nimekuwa makin sana kwa member wote wa humu, wapo tulio tanian matani ya hapa na pale,

Lakn toka nimjue hyo mjamaa basi ata ukiniamsha usingizini uniulize kwa wanaume wa jf wote ukipewa nafs ya kuchagua unae mpenda utamchagua nn aiseee

Hyo jamaa ata angewekwa namba ya mwisho ningeakikisha namfikia wallah tena..
 
Tunafanye sasa mama angalau aandike kitu jmn..

Ujue toka najiunga jf nimekuwa makin sana kwa member wote wa humu, wapo tulio tanian matani ya hapa na pale,

Lakn toka nimjue hyo mjamaa basi ata ukiniamsha usingizini uniulize kwa wanaume wa jf wote ukipewa nafs ya kuchagua unae mpenda utamchagua nn aiseee

Hyo jamaa ata angewekwa namba ya mwisho ningeakikisha namfikia wallah tena..
Woyoooooooooo
My brother mkwepuuuuuuuuuu
Usijali,atakujibu
Bro wangu sana huyu

Zari la mentali hili

mkwepu jr
Leo nyota imekuwakia mwanangu
 
Mkwepuuuuuuuuuu up
Wewe siyo robot rafiki yangu
Binti mwenye moyo wa nyama amekuzimikia huku
Mrembo balaaa..


Please mwanangu mkwepu jr usiniangushe,usiliangushe taifa pia...
Sema neno bwana mkwepu
Ukikausha nitakufwata hadi huko ulipo
Ukifanikiwa ilo wallah njoo pm unipe no nikupe ata ya soda upote koo
 
Back
Top Bottom