Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Utafutaji huo vepeeeh? Usitake kunambia unatafuta ili uvute RR, Wallah utakua unaota ndoto huku ukiwa unatembea tena mchana kweupe.
Relaaaaax Mr.
ata ii nayo tamu kama RR tu
20210310_191045.jpg
 
ata ii nayo tamu kama RR tu View attachment 1722732
Thubutuuuh weeeh, ila kuna best angu ndo Mr wake anayo km hiyo, huwa tukiwa wawili nakanyaga mafuta mie, ni tamu ila sio kwa RR,
Kuna siku nilipata lift ya range rover dadeki, nusu nimuombe jamaa nizungushe mie usukani, yaan ndinga unaisikilizia utamu had kwenye utumbo mpana. Lol
 
Thubutuuuh weeeh, ila kuna best angu ndo Mr wake anayo km hiyo, huwa tukiwa wawili nakanyaga mafuta mie, ni tamu ila sio kwa RR,
Kuna siku nilipata lift ya range rover dadeki, nusu nimuombe jamaa nizungushe mie usukani, yaan ndinga unaisikilizia utamu had kwenye utumbo mpana. Lol
we endelea kubisha Siku ntapost RR yangu apa
 
we endelea kubisha Siku ntapost RR yangu apa
Yaan mie kusukuma ndinga ndo starehe yangu, nikiwa nakanyaga mafuta pale mbele, naiona dunia yote yangu. .
Kuna mtu kashajua udhaifu wangu, akiona tyuuh sipo sawa ananipa funguo ya ndinga, oooooooh hapo sasa moyo unaitikia "ewaaaaaaaah".
 
Back
Top Bottom