Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,924
- 95,728
Kumsingizia mtu kifo siyo hovyoo?Mkuki ni mtraaaam kwa Nguruwe eeeeh?Wewe kila kitu ni siasa tu!
Hovyoo
Kumsingizia mtu kifo siyo hovyoo?Mkuki ni mtraaaam kwa Nguruwe eeeeh?Wewe kila kitu ni siasa tu!
Hovyoo
Una uhakika?Kumsingizia mtu kifo siyo hovyoo?Mkuki ni mtraaaam kwa Nguruwe eeeeh?
Utashindwa kupumua umejificha sana![]()


miss u Mr, nani alikuficha jomoneeh lol, barakoa hiyo nazuia corona.Me too swirlyMiss u dea,![]()
Tupia yako dada mzuriMnamiss-iana tu humu..badala ya kushusha maphotoo.muwe na muda mwema.
![]()
Ujambo mama!!!S T O I C
Salamu zangu kwako
Niko poaUjambo mama!!!
Umeshinda poa!!?
Niko poa Saaaaana!!Niko poa
Za wewe?
WaowNiko poa Saaaaana!!
Nipasie kifungu cha neno nikajisome usiku sa hii![]()


Kuhusu upendo na kujali 💜❤️Waow
Sijui nikupe kifungu gani![]()
Soma injili Kama ilivyoandikwa na Mathayo Mtakatifu 6:14-15Niko poa Saaaaana!!
Nipasie kifungu cha neno nikajisome usiku sa hii![]()
Anhaaaa ngoja nipitieSoma injili Kama ilivyoandikwa na Mathayo Mtakatifu 6:14-15
Inahusu msamaha
Kuhusu upendo soma Injili ya MathayoKuhusu upendo na kujali![]()


Kuhusu upendo na kujali![]()
Ushapata mke sasa. Au unasubiri malaika aje akushike mkono mpaka kwake huyo MtakatifuAnhaaaa ngoja nipitie

Ushapata mke sasa. Au unasubiri malaika aje akushike mkono mpaka kwake huyo Mtakatifu![]()






