Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Watu wanamahaba na upenzi/chuki/nyongo nyingi sometimes wanaonyesha hisia zao kwenye kila kitu,

Mistari uliyoweka sio fake lakini mahaba/hasira zake zinamjibia.

Morning.
........“Nyinyi hamjui kitu! Je, hamwoni kwamba ni afadhali kwenu mtu mmoja afe kwa ajili ya watu, kuliko taifa zima liangamizwe?”(Yohana 11:45-57)
 
........“Nyinyi hamjui kitu! Je, hamwoni kwamba ni afadhali kwenu mtu mmoja afe kwa ajili ya watu, kuliko taifa zima liangamizwe?”(Yohana 11:45-57)
Ukisoma hizo verses na chapter nzima,utagundua Mtu anayeongelewa hapa kwamba afadhali afe ili taifa lisiangamizwe ni Yesu.
Sasa nyie mmehusianisha vipi na Mheshimiwa?
 
Back
Top Bottom