Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Crush ungekuepo ile tag ya upako ungeiyona kitambo.
Happy women's day najua wewe ni mwanamke wa shoka.
Nipo kweli
Ni vile tu jf App inazingua Sana.Haileti notifications kwa wakati na mara nyingine haziji kabisa au zinakuja chache.

Nilikuwa nasubiri wish yako
Japo tayari ni Tar nyingine ila naipokea kwa mikono miwili.

Thanks,I'm so proud to be a woman.
#God's kingdom woman.
 
Kina mama wa Gospel tunawatakia kheri kwenye siku yenu hii
FB_IMG_1615234350617.jpg
 
Hata baada ya kuwapa Kombe la mapinduzi, wanaongoza ligi, wameshinda mechi zote za ligi ila moja tu ambayo wamepoteza mbele ya Coastal Union, wamepata droo 7, lakini Yanga hawakujali mafanikio hayo wakamtimua tu.
FB_IMG_1615234233385.jpg
 
Nipo kweli
Ni vile tu jf App inazingua Sana.Haileti notifications kwa wakati na mara nyingine haziji kabisa au zinakuja chache.

Nilikuwa nasubiri wish yako
Japo tayari ni Tar nyingine ila naipokea kwa mikono miwili.

Thanks,I'm so proud to be a woman.
#God's kingdom woman.
Kukuwish tu kumenipa furaha 💜,
Hizi tarehe tumeletewa tu kama nguo zilivyo.
Tumia freebasic app, utapata user interface ya browser ambayo ni nzuri kuliko app yenyewe.
 
Sijajua nije Dodoma, Mbeya au Kyela.

Steven Kibona RIP, alikuwa mchapakazi hodari sana.
Mwenyezi Mungu amuweke mahali panapistahiki
Alikuwa mjomba wangu ila si wa karibu Sana.
Mdogo wake alimuoa shangazi yangu.
Sasahivi yeye na mdogo wake wote hawapo.


Karibu Moud,ukitaka kwenda huko basi nitakupa location ya nilipo.
 
Back
Top Bottom