Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,985
- 189,557
Ni kweli tumelala mkuu.
Hapa nipo naota nimeingia Jf.
Hapa nipo naota nimeingia Jf.
Me nikajua mumelala bhna
Me nikajua mumelala bhna
Kwa sasa unaishi mjini gani, bado Dom?Alikuwa mjomba wangu ila si wa karibu Sana.
Mdogo wake alimuoa shangazi yangu.
Sasahivi yeye na mdogo wake wote hawapo.
Karibu Moud,ukitaka kwenda huko basi nitakupa location ya nilipo.
Mi mwenyewe mwanzo nilikusahau kama ndiye wewe rafiki yangu mpenzi toka nyanda za juu kusini, mpaka dadako Saint Anne aliponyoosha kidole kunielekeza.Na hata sijui hii id inawachanganya kitu gani! Wakati hili ni jina la kike!
Bwana asifiwe
Kuna visu humu sio mchezoSelfika usiku wa wamanane....View attachment 1720565
Hivi kumbe zile wanaita "pisi kali" zipo humu! Mkuu uliitendea haki siku ya wanawake duniani!Selfika usiku wa wamanane....View attachment 1720565
KichunaSelfika usiku wa wamanane....View attachment 1720565
Inapendeza.Kumbe wewe ndiye Depal,
Daa best hivi unatambua kuwa tunajuana!?
qeen jojoSelfika usiku wa wamanane....View attachment 1720565
Asante mwaya lakin me sio pic kali, me wakaida tuHivi kumbe zile wanaita "pisi kali" zipo humu! Mkuu uliitendea haki siku ya wanawake duniani!
Yeah ,kichuna .....Kichuna

Kafanana na babaake..hongera zakweKinamama wa Manispaa ya Mtwara Mikindani wamemvisha Taji la Malkia wa Nguvu, Mstahiki meya wa mji huo mama Shadida Ndile, kuenzi kile anachowafanyia wana Mtwara.
Shidida Ndile ndiye Meya pekee mwanamke anayeongoza Manispaa,miji na majiji kati ya Halmashauri 188 nchi nzima.
Pia mstahiki Shadida ndiye mwanamama wa kwanza kugombea na kushinda wadhifa huo tangu uhuru wa nchi hii miaka 59 iliyopita.
Hongera mama ShadidaView attachment 1720547

Wanawake wa Afrika waache umbea, Siasa, KujipendekezaSalaute kwa huyo mama.
Wanawake wa Afrika waache umbea, Siasa, Kujipendekeza nk, wajikite maabara ili hatimaye waibuke na vitu vitakavyomkomboa mwanadamu tokana na changamoto mbalimbali.





Naam mkuu
Hata baada ya kuwapa Kombe la mapinduzi, wanaongoza ligi, wameshinda mechi zote za ligi ila moja tu ambayo wamepoteza mbele ya Coastal Union, wamepata droo 7, lakini Yanga hawakujali mafanikio hayo wakamtimua tu. View attachment 1720553



