Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Alikuwa mjomba wangu ila si wa karibu Sana.
Mdogo wake alimuoa shangazi yangu.
Sasahivi yeye na mdogo wake wote hawapo.


Karibu Moud,ukitaka kwenda huko basi nitakupa location ya nilipo.
Kwa sasa unaishi mjini gani, bado Dom?
 
Na hata sijui hii id inawachanganya kitu gani! Wakati hili ni jina la kike!
Mi mwenyewe mwanzo nilikusahau kama ndiye wewe rafiki yangu mpenzi toka nyanda za juu kusini, mpaka dadako Saint Anne aliponyoosha kidole kunielekeza.
Usibadirishe tena I'd yako, marafiki zako unatuchanganya
 
Kinamama wa Manispaa ya Mtwara Mikindani wamemvisha Taji la Malkia wa Nguvu, Mstahiki meya wa mji huo mama Shadida Ndile, kuenzi kile anachowafanyia wana Mtwara.
Shidida Ndile ndiye Meya pekee mwanamke anayeongoza Manispaa,miji na majiji kati ya Halmashauri 188 nchi nzima.
Pia mstahiki Shadida ndiye mwanamama wa kwanza kugombea na kushinda wadhifa huo tangu uhuru wa nchi hii miaka 59 iliyopita.

Hongera mama ShadidaView attachment 1720547
Kafanana na babaake..hongera zakwe
 
Salaute kwa huyo mama.

Wanawake wa Afrika waache umbea, Siasa, Kujipendekeza nk, wajikite maabara ili hatimaye waibuke na vitu vitakavyomkomboa mwanadamu tokana na changamoto mbalimbali.
Wanawake wa Afrika waache umbea, Siasa, Kujipendekeza
 
Back
Top Bottom