Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,504
- 203,223
Mtindi natumia, ila yoghurt itapendeza zaidi....Hapana usije na chochote/lolote mkuu
Kila kitu utakuta kipo ugali na samaki+maziwa mgando/mtindi ya baridi(unatumia?)
Au mpaka Yogurt![]()
Mtindi natumia, ila yoghurt itapendeza zaidi....Hapana usije na chochote/lolote mkuu
Kila kitu utakuta kipo ugali na samaki+maziwa mgando/mtindi ya baridi(unatumia?)
Au mpaka Yogurt![]()
Bavaria naiona kwa uzuri kabisa😁😁
Hongera mama mchungaji,mwandiko mzuriii mpaka raha.Happy women's day
View attachment 1720255
Kisanga si ni tatizo?Wew ni kisanga ujue![]()

Hahaha....mimi huyu?Mtaalamu kwa kutunza picha za watu![]()
MmmmmmmmhSi ndo hapo sasa .. T 1990 ELY naomba uendelee kukaa kwa password..ilikuwa maalumu kwa my lovuli Daddy
Dah!!.....Huu mguu huu!!
Hahahhaha broMimi nimeichukua/iiba kabisa bhageshi
Badae nina jambo langu na hii picha![]()
Ameeen babuuuuh.Happy bruu Monday mjukuu
Guu la kuombea mkopo TPB. Wallah
Sijambo babaSaint Annehaujambo?
AkhsanteeHongera mama mchungaji,mwandiko mzuriii mpaka raha.
Nzuri sna!!!Sijambo baba
Za siku nyingi?
Nipo muda woteNzuri sna!!!
Umekua kimulimuli!!! Unaonekana kimachale nani kakuficha.
Yaliyomo yamo
