Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kinamama wa Manispaa ya Mtwara Mikindani wamemvisha Taji la Malkia wa Nguvu, Mstahiki meya wa mji huo mama Shadida Ndile, kuenzi kile anachowafanyia wana Mtwara.
Shidida Ndile ndiye Meya pekee mwanamke anayeongoza Manispaa,miji na majiji kati ya Halmashauri 188 nchi nzima.
Pia mstahiki Shadida ndiye mwanamama wa kwanza kugombea na kushinda wadhifa huo tangu uhuru wa nchi hii miaka 59 iliyopita.

Hongera mama Shadida
FB_IMG_1615234376312.jpg
 
Back
Top Bottom