Pendaelli
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 12,105
- 35,136
Mbona sipo sahihiHapo ndo imefika![]()
Mbona sipo sahihiHapo ndo imefika![]()
jamii photosMshana Jr hivi ule uzi wa vituko mitandaoni uko jukwaa gani?
La picha nadhani ngoja nikupe linkMshana Jr hivi ule uzi wa vituko mitandaoni uko jukwaa gani?
Ok asante boss.
Asante sana.La picha nadhani ngoja nikupe link
![]()
Vituko mitandaoni. Tupia chako
Una kituko umekiona mtandaoni, tushirikishane hapa…www.jamiiforums.com
Aiseeeeeee umeona sasa, ukabadili na jina !!!
Vibe na mwandiko ni Zoe laki jina ni Karma.
Nilikuachia kazi wewe, uliifanya eti ???







Aiseee! Nitaenda siku moja!Aisee
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku moja nenda Mkapa kutalii..unapitiliza hadi tibani mbele kidogo ya Mkapa.
Kumetulia sana.. porini kwanza ni tofauti na huko social na bondeni.
halafu zoe nilikua namchukulia kama sista duu fulani hivi na minato ya mwendokasi....huyu karma namuona kama mtu social,peace hana noma na mtu
aisee kumbe ni mtu mmoja
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app






Wazungu ndio zao hao.
Kwema sana, mambo niaje?



