Pendaelli
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 12,886
- 37,843
Mbona sipo sahihiHapo ndo imefika [emoji846]
Mbona sipo sahihiHapo ndo imefika [emoji846]
jamii photosMshana Jr hivi ule uzi wa vituko mitandaoni uko jukwaa gani?
La picha nadhani ngoja nikupe linkMshana Jr hivi ule uzi wa vituko mitandaoni uko jukwaa gani?
Ok asante boss.
Asante sana.La picha nadhani ngoja nikupe link
![]()
Vituko mitandaoni. Tupia chako
Una kituko umekiona mtandaoni, tushirikishane hapa…www.jamiiforums.com
Wallah tena [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3] [emoji2][emoji2] aah thubutu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]Aiseeeeeee umeona sasa, ukabadili na jina !!!
Vibe na mwandiko ni Zoe laki jina ni Karma.
Nilikuachia kazi wewe, uliifanya eti ???
Aiseee! Nitaenda siku moja!Aisee [emoji134]
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku moja nenda Mkapa kutalii..unapitiliza hadi tiba[emoji7]ni mbele kidogo ya Mkapa.
Kumetulia sana.. porini kwanza ni tofauti na huko social na bondeni[emoji4].
[emoji3][emoji3] [emoji2][emoji2]halafu zoe nilikua namchukulia kama sista duu fulani hivi na minato ya mwendokasi....huyu karma namuona kama mtu social,peace hana noma na mtu
aisee kumbe ni mtu mmoja[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji4]
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]Wabambiaji mpoooh? Na mawazo yenu ya uchumi wa kati.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]View attachment 1713957
Wazungu ndio zao hao.View attachment 1714187
Wako wengi kama hawa wanakatiza mtaani pekupeku [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Habari hawapati
Kwema sana, mambo niaje?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]View attachment 1714187
Wako wengi kama hawa wanakatiza mtaani pekupeku [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Habari hawapati