Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Yaani hauwezi amini eti hata B Mkapa sijafika na karibu kila siku nilikuwa napanda daladala za huko! Ila nashukia either bank (nikiwa naenda utawala) au informatics sijawahi kuendelea zaidi ya pale ila kule social nimezururamo kidogo!
ulikua info au bado uko info??

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
IMG-20210227-WA0019.jpg
 
Poleh mzazi
Ushachoma sindano?.
Yeah, tayari. Haya masindano ya tetanus siyapendi aisee.

Sasa hivi bega lote linauma balaa.

But guess what though? I see $$$$....nshawasiliana na lawyer.

Mbwa ni wa jirani. Hakuwa kwenye leash.

Community subdivision guidelines zinataka mbwa wote wawe kwenye leash wakiwa nje.

I’m about to get paaaaaaid 😁
 
Yeah, tayari. Haya masindano ya tetanus siyapendi aisee.

Sasa hivi bega lote linauma balaa.

But guess what though? I see $$$$....nshawasiliana na lawyer.

Mbwa ni wa jirani. Hakuwa kwenye leash.

Community subdivision guidelines zinataka mbwa wote wawe kwenye leash wakiwa nje.

I’m about to get paaaaaaid 😁
Nani kakuambia uking'atwa na mbwa unachoma tetenus mkuu?
 
Back
Top Bottom