cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,106
- 181,181
Status tyuuh unafurahi, mie huo muda wa kutazama hata sina.WhatsApp ya ukweli sana yaani.
Mimi inanipa raha nikianza angalia status nafurahi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Status tyuuh unafurahi, mie huo muda wa kutazama hata sina.WhatsApp ya ukweli sana yaani.
Mimi inanipa raha nikianza angalia status nafurahi.
Sent using Jamii Forums mobile app
TZ Ni nchi pekee ambayo ukimkopesha rafiki pesa, unapoteza vyote rafiki na pesa




poleeeehKwani hujaweka had leo babuuh? Acha uwongo wee


Sasa bora nitazame status WhatsApp kuliko kwenda kusoma mapichapicha IGStatus tyuuh unafurahi, mie huo muda wa kutazama hata sina.
Aiseemie sio kila mtu naongea nae, na principle yangu hii
ngeni huwa sipokei wala kumuuliza nani. Atajitambulisha mwenyew kwa text then ntampigia if possible.
Yaan huwa nadeal wale wa muhimu kwangu, lazima niwapigie au sivyo natuma please Call me.
Kuhusu kuchat hapana aseeeh swez kamwe.
Duhhh! Una pigo za kiaina Sana!Shingo jero tu, mchuzi bureView attachment 1709649
Halafu pure kienyejiShingo jero tu, mchuzi bureView attachment 1709649
Weka na yako sasa.Good Afternoon! View attachment 1709787
Yaan IG mie nkiona caption zile, naona raha.Sasa bora nitazame status WhatsApp kuliko kwenda kusoma mapichapicha IG
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivyo cc