Hata mimi huwa sipendelei sana meseji za kawaida na naweza nikakaa hata mwezi sijajiunga kifurushi cha dakika au meseji za kawaida labda niwe nataka kumpigia mtuSasa mommy unadhan mie napenda kuchat? Yaan mie ni mvivu na swez kabisa kuchat, hyo WhatsApp naweza kaa hadi mwezi sijaingia, notification naziona.
Huko kawaida ndo balaa sasa, huwa nawapigia wale wa muhimu kwangu. Sina wa kuchat nae. Na nimeshasahau lin mara ya mwisho kuweka kifurush cha text za kawaida.
Bro uprod tena chura kama jana siku yangu iende vyema,jana nilibarikiwa sana!😄😄😄
Bro uprod tena chura kama jana siku yangu iende vyema,jana nilibarikiwa sana!![]()
changia kwanza
Bro uprod tena chura kama jana siku yangu iende vyema,jana nilibarikiwa sana!![]()
Bro uprod tena chura kama jana siku yangu iende vyema,jana nilibarikiwa sana!![]()
😄😄😄
Hizi hela zinaenda wapi?
Kumbe ndiyo maana sms zangu hazipati majibuSasa mommy unadhan mie napenda kuchat? Yaan mie ni mvivu na swez kabisa kuchat, hyo WhatsApp naweza kaa hadi mwezi sijaingia, notification naziona.
Huko kawaida ndo balaa sasa, huwa nawapigia wale wa muhimu kwangu. Sina wa kuchat nae. Na nimeshasahau lin mara ya mwisho kuweka kifurush cha text za kawaida.
em tuuone mwanya kalumbu
Ina maan wee cc unapenda San kuchat? Mie dkk ndo naweka, ila text hapana.Aisee
Mimi dk zangu huwa zinaenda tu bure..huwa sizitumii kabisa.
Nikiwa na MB tu Basi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatzo mie kuchat siwezi, bora mtu niongee nae tumalizane, ila kuchat hapana swez.
WhatsApp nzuri sana...kwanza response yake ni ya haraka ukiwa unachat na mtu.
Ni tofauti na normal texts
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapi hii Mr?Road trip. View attachment 1708917
Hata mimi huwa sipendelei sana meseji za kawaida na naweza nikakaa hata mwezi sijajiunga kifurushi cha dakika au meseji za kawaida labda niwe nataka kumpigia mtu
Ila WhatsApp daah yaani bora nikose vyote kwenye simu yangu ila siyo WA aiseee


yaan wee n tsup tyuuh. Hongera bas mie ilisha nishinda. WallahWee usnambie, sidhan km una no angu na wala mie kuwa na yao.Kumbe ndiyo maana sms zangu hazipati majibu