Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Road trip.
20210221_162817.jpg
 
Sasa mommy unadhan mie napenda kuchat? Yaan mie ni mvivu na swez kabisa kuchat, hyo WhatsApp naweza kaa hadi mwezi sijaingia, notification naziona.

Huko kawaida ndo balaa sasa, huwa nawapigia wale wa muhimu kwangu. Sina wa kuchat nae. Na nimeshasahau lin mara ya mwisho kuweka kifurush cha text za kawaida.
Hata mimi huwa sipendelei sana meseji za kawaida na naweza nikakaa hata mwezi sijajiunga kifurushi cha dakika au meseji za kawaida labda niwe nataka kumpigia mtu

Ila WhatsApp daah yaani bora nikose vyote kwenye simu yangu ila siyo WA aiseee
 
Sasa mommy unadhan mie napenda kuchat? Yaan mie ni mvivu na swez kabisa kuchat, hyo WhatsApp naweza kaa hadi mwezi sijaingia, notification naziona.

Huko kawaida ndo balaa sasa, huwa nawapigia wale wa muhimu kwangu. Sina wa kuchat nae. Na nimeshasahau lin mara ya mwisho kuweka kifurush cha text za kawaida.
Kumbe ndiyo maana sms zangu hazipati majibu
 
Nimewiwa kushare nanyi hii kitu...tafadhali isome si lazima uchangie hoja lakini JITAHIDI UISOME



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata mimi huwa sipendelei sana meseji za kawaida na naweza nikakaa hata mwezi sijajiunga kifurushi cha dakika au meseji za kawaida labda niwe nataka kumpigia mtu

Ila WhatsApp daah yaani bora nikose vyote kwenye simu yangu ila siyo WA aiseee
yaan wee n tsup tyuuh. Hongera bas mie ilisha nishinda. Wallah
 
Back
Top Bottom