Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Simba Oyee
FB_IMG_1614099581002.jpg
 
Basi tuko tofauti.
Mimi unaweza uwe na namba yangu na usijue sauti yangu maana huwa sipigi wala kupokea[emoji23][emoji23][emoji23]
Hadi nimpigie mtu aisee,niwe nimemkubali sana na kumzoea mno.

Simu yangu ishaacha kupigwa maana mara nyingi aliyekuwa ananipiga ni mama tu ambaye kwa sasa nipo naye karibu.
[emoji3][emoji3][emoji3] yaan wee cc bhana, nimechekaa ila lol.
 
[emoji3][emoji3][emoji3] unajua wee unatumia San vibaya kuwaza? RR kwa kipi hasa? Hebu tulia na IST kwanza.
[emoji23][emoji23][emoji23] bibie umeanza sasa kunipendelea ist nitulie na boxer yangu kipuliza upepo [emoji1631][emoji1631]
 
Back
Top Bottom