Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Wacha wee, sema imeondoka na mtu, kaenda nayo kaskazini ila had weekend itakua tayar isharud Dar.
ushaanza kuazimisha azimisha katika vitu mwiko wangu ni kuazimisha usafiri ata useme wapi nakupeleka ila sio nimpe mtu
 
ushaanza kuazimisha azimisha katika vitu mwiko wangu ni kuazimisha usafiri ata useme wapi nakupeleka ila sio nimpe mtu
Ungejua mie mchoyo hata wa kutoa lift, tatzo aliyenipa ndo kachukua eti. Si unajua vya kupewa manyanyaso mengi. Tunavumilia tyuuh.
 
Tatzo mie kuchat siwezi, bora mtu niongee nae tumalizane, ila kuchat hapana swez.
Mimi kuongea ni mtihani sana.
Simu ikiita napata presha yaani
Huwa nafikiria sana kuongea na simu na ninaweza nisipokee.

Yaani hadi nimempigia mtu simu au kupokea aisee,niwe nimemzoea na kumkubali sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata mimi huwa sipendelei sana meseji za kawaida na naweza nikakaa hata mwezi sijajiunga kifurushi cha dakika au meseji za kawaida labda niwe nataka kumpigia mtu

Ila WhatsApp daah yaani bora nikose vyote kwenye simu yangu ila siyo WA aiseee
WhatsApp ya ukweli sana yaani.
Mimi inanipa raha nikianza angalia status nafurahi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
FB_IMG_1613473263345.jpg
 
Mimi kuongea ni mtihani sana.
Simu ikiita napata presha yaani
Huwa nafikiria sana kuongea na simu na ninaweza nisipokee.

Yaani hadi nimempigia mtu simu au kupokea aisee,niwe nimemzoea na kumkubali sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
mie sio kila mtu naongea nae, na principle yangu hii ngeni huwa sipokei wala kumuuliza nani. Atajitambulisha mwenyew kwa text then ntampigia if possible.

Yaan huwa nadeal wale wa muhimu kwangu, lazima niwapigie au sivyo natuma please Call me.

Kuhusu kuchat hapana aseeeh swez kamwe.
 
Back
Top Bottom