Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hii nayo nishawahi kuitumia na ipo na nyingine. Ila ile ya dreadlocks ndiyo mama lao, lazima irudi
Doh enzi hizo unaitumia mimi nadhani nilikuwa busy nasongoka huko na kuchapana fimbo na walimu.


Ila karoho kameniuma umeitoa hii[emoji21]
JamiiForums1876322494.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kizee teh teh [emoji23]

Sifa ya pili mkongwe anatumia emoji 1 zikizidi sana 3,hasa kwenye kuonyesha kucheka tu,

Ukiona unatumi 4 na kuendelea angalia umri wako jibu unalo.
Tobaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna Wazee tunapenda kucheka jamani.

Ila nipo kwenye mazoezi ya kuacha kutumia emoj[emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom