geraldincredible
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 2,035
- 7,227
ahahahaha niliwaza ssnaDah
Kwahiyo kalumbu muda wote hukujua Kama ni Heaven on Earth?
nimeenda google nikaandika safari ya kupanda mlima kilimanjaro wakaleta link ya jamii forum ndio nikamsoma HOE
nilijua labda katyping error alitaka kusema HOHE HAHE



yan mtu akivaa kama namfahamu nimemzoea uwa namwambia kabisa suruali yako ya leo mbaya
ah sinyamazi kabisa

