Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,785
- 51,527
Nimeiona na nikasepa nayo😅😅😅Kwa kweli nashukuru kama hakuna MTU ameona
Nimeiona na nikasepa nayo😅😅😅Kwa kweli nashukuru kama hakuna MTU ameona
Piga vyombo piga vyombo



Siku yako ilikuwaje?Am good!!!
Saaaaana.
hahahahha kanipa sana nguvu.....nataka jack akiacha next week mimi nianze





eti amekupa nguvu
Si nzuri Sana?nini shida?Sio nzuri sana
Sio mbaya
Namshukur mungu.
Mm naachaeti amekupa nguvu
Nyie wawili hamuwezi kuacha..
Bora hata Billy
Leo nilikua off sana,Si nzuri Sana?nini shida?
Sawa mchumba.
Oh poleLeo nilikua off sana,
Siunajua wana wa-Adamu watu wa moods mbalimbali ivyo tu,
Karibu chai ya Tangawizi.
basi kalumbu kila nikiwaza kuhusu bill naona kama ndio ngumu kuachaeti amekupa nguvu
Nyie wawili hamuwezi kuacha..
Bora hata Billy






.....mimi siachi siku za hivi karibuni...ila nitaacha
Kuna cha kwako special kimeandikwaOh pole
Akhsante,nakuja kunywa.. nitafutie kikombe changu Hapo
Au tutatumia kimoja?
Yaani unamuwazia Billy huku wewe ndio kiboko wa kunywa!basi kalumbu kila nikiwaza kuhusu bill naona kama ndio ngumu kuacha.....
yani namuona kabsa huyu ni Bia mate

Kuna cha kwako special kimeandikwa
Anne, na tu urembo wa Ua.

mimi siachi siku za hivi karibuni...ila nitaacha







Kati ya nyie watatu,atakayefanikiwa kuacha anidai zawadi.


nitawauliza wenzangu mlipewa zawad gani.....Haha nimedakwa mimi,
Tuone huto tu ua