Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,414
- 176,331
Kwakweli dota, hamna namna.Itabidi tuweke kambi ya mazoezi kabisa![]()





eeeeh Mr hebu nambie lini sasa league inakua, mie nipo full hapa, yaan mwendo kubofya gia sio natembeza, napaa yaan.Thubutuuuuuh hiyo bugana unasaka wapi? Nakumabiaje sasa hata uwauze hao waimbaji wa hiyo bugana Pa1 na koo zao zote bado hugusi huu mkoko hata kuuliza bei,











Duuuh!! Viatu virefu ni kipaji, mie vimenishinda kwakweli




Nilitaka kusema ila nikakaa kimya nikaona labda sijafungua Bible fresh![]()




Acha tuWallah ukiwa mrefu + heels, unajikuta unaswing tu kama twiga![]()
Akhsante
Thubutuuuuuh hiyo bugana unasaka wapi? Nakumabiaje sasa hata uwauze hao waimbaji wa hiyo bugana Pa1 na koo zao zote bado hugusi huu mkoko hata kuuliza bei,
![]()



Shamsa katisha sana!View attachment 1704230
CC: @SHIMBA YA BUYENZE


