Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,607
- 830,352
- Thread starter
- #91,141
Huu nao unatoa onyo kuhusu kilevi pia,
Huo mwingine unaeleza madhara/matokeo yatokanayo na kilevi.
I think we need Devine power to understand the Holy Bible...la muhimu ni kutenda jambo sahihi kwa wakati sahihi na bila kudhuru nafsi au kukengeuka mafundisho ya Mungu na sharia zake




