Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,785
- 51,527
Yani miaka kenda unatafuta mguu wa bia mkuu!!hauko serious ๐ ๐ ๐Nilikuwa nautafuta mguu wa bia, baada ya miaka kenda ndiyo nimeuona kwako. Hongera ๐๐
Yani miaka kenda unatafuta mguu wa bia mkuu!!hauko serious ๐ ๐ ๐Nilikuwa nautafuta mguu wa bia, baada ya miaka kenda ndiyo nimeuona kwako. Hongera ๐๐
Kuna Watu wana rahaSawa mchumba.
Ukifika may haujagusa pombe basi nitakupa zawadi yako.
geraldincredible wewe unaacha lini Kalumbu?![]()
Town yeaaah
Naomba dea jomoneeeh
Kweli Mkuu, naomba ruhusa yako nije Zanzibar niushangae kidogo ๐๐Yani miaka kenda unatafuta mguu wa bia mkuu!!hauko serious ๐ ๐ ๐
Kipendhi plz hiyo raba, naiomba yaan plz fanya hivyo iwe miguuni mwangu wallah
Nitajie size ya Mguu wako nikutumie kwa DHL ๐Kipendhi plz hiyo raba, naiomba yaan plz fanya hivyo iwe miguuni mwangu wallah
39, haya fanya haraka bas nawee.Nitajie size ya Mguu wako nikutumie kwa DHL![]()
Hapana.asante.๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅKweli Mkuu, naomba ruhusa yako nije Zanzibar niushangae kidogo ๐๐
Unavaa namba ngapiKipendhi plz hiyo raba, naiomba yaan plz fanya hivyo iwe miguuni mwangu wallah
39 kipendhiiUnavaa namba ngapi
Utanipa code muhimu ili zikufikie39, haya fanya haraka bas nawee.
UsijarUtanipa code muhimu ili zikufikie
Ndiyo nimeanza safari ya kuogelea kuja huko Zanzibar, huenda nikafika baada ya siku 14๐๐๐Hapana.asante.๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ
Imeisha hiyo ๐๐๐Usijar