cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,296
Madimba hayoo, majaruba ya mpunga. Nachukia kupandikiza na kung'olea aaaah tabu tupu. Nmekumbuka home.
Madimba hayoo, majaruba ya mpunga. Nachukia kupandikiza na kung'olea aaaah tabu tupu. Nmekumbuka home.
leo nimekunywa hii...nimemaliza baada ya masaa manneSina tupicha.
Nitaweka kesho.
Boga bora mninyonge![]()



ni habari nyingine.Nimepata wivu..acha tu nikameze diazepam
Labda kwasababu sijawahi kula ya viungo.
Hata Mimi zamani nilikuwa siyapendi kichizi yaani..
Nilikuwa sili kabisa yakipikwa,
Yalivyoanza kuwekwa viungo Sasani habari nyingine.
Jaribu kula yaliyoungwa.Labda kwasababu sijawahi kula ya viungo.
Sana sio kwamba ni mabaya ila tu sijui nikila hapo viwili inatoshaJaribu kula yaliyoungwa.
Ni matamu sana.
Hayo ya mchemsho tu kweli huwa yanachosha.
Sasa yale ukila, utatamani ule tena na tena.Sana sio kwamba ni mabaya ila tu sijui nikila hapo viwili inatosha
😁😁😁 itasaidia???Nimepata wivu..acha tu nikameze diazepam
Uliyoninunulia iko wapi nami nile??
Nilikuwa nautafuta mguu wa bia, baada ya miaka kenda ndiyo nimeuona kwako. Hongera 😋😋