Hannah
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 10,146
- 41,401
Ndio tena Mr perfect ametoka kujinadi ana hela ndio maana anaopoa vyombo.Hizo ndiyo kucha za mrs perfect??
Ndio tena Mr perfect ametoka kujinadi ana hela ndio maana anaopoa vyombo.Hizo ndiyo kucha za mrs perfect??
😂😂😂😂😂😂 tucheke kimya kimya jamani me sitaki Uzi wa watu uharibike.Mr perfect hivi si ni wewe uliwekaga uzi hapa jf ukimsema mdada wa jf tena ambae kucha zake zimepakwa rangi na ni safi kabisa!!!!!
Vipi hizi kucha za mkeo?![]()
![]()
![]()
![]()
Kweli nyani haoni kundule!!!
Mamaee zake sijui nimuanzishie uziNdio tena Mr perfect ametoka kujinadi ana hela ndio maana anaopoa vyombo.
Umefanana na jamaa anaitwa AlleinEarly this morning
Holiday. View attachment 1222380
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Mamaee zake sijui nimuanzishie uzi
Umeona feedback 🙇🙇Hivi vidole hivi..
Nilie pinda nimeshidwa na wazazi hadi askari.Ile kuamka bado kinda halafu siyo wa geti kali
Ngoja nianze kutembea kuelekea tigo pesa.
Hata sio mimi, watu hufanana.Umefanana na jamaa anaitwa Allein
Najua una hasira sana lakini wahenga walisema adui mpende,,,,tucheke kimya kimya jamani me sitaki Uzi wa watu uharibike.
Cardiovascular upunguze ushamba na uswahili bestie, kutusema kote kule afu demu wako mwenyewe ndio huyosiku nyingine kabla hujamtoa mtu kasoro make sure you're perfect enough.
Yale majigambo yote kwanza ubadili kile kitochi at leat kiwe cha Samsung, itel tunatumia sisi mabeki tatu okay!!! CASE CLOSED kiroho SAYONA
Nilisema jana akakate kucha hizoMr perfect hivi si ni wewe uliwekaga uzi hapa jf ukimsema mdada wa jf tena ambae kucha zake zimepakwa rangi na ni safi kabisa!!!!!
Vipi hizi kucha za mkeo?
Kweli nyani haoni kundule!!!
am okay bby, nimejikuta tu nimeropoka 🙊Najua una hasira sana lakini wahenga walisema adui mpende,,,,
Kumbe umenipata eenh?? Pamoja!!Nilie pinda nimeshidwa na wazazi hadi askari.
HahahahaNilijikaza usiku nisiandike ila hapana siwezi kumezea kitu.![]()
Utakuwa umerelax sasaam okay bby, nimejikuta tu nimeropoka![]()
Nimegundua hamkuielewa movement yangu humu,,, mi ndo kapeace,,,Kwani ni nini mbona kuni defend mapema![]()