Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 72,147
- 190,643
Asante tu! Kwani lazima mtu uvae pete vidoleni 😂Tafsiri za waswahili au sio 🥴
Asante tu! Kwani lazima mtu uvae pete vidoleni 😂Tafsiri za waswahili au sio 🥴
😁😁 karibu tumalizie !Hadi minyoo tumboni inacheza cheza lol.
Mswahili akishakosa kazi ya kufanya atakwambia hata kuvaa nguo una lako jambo 🙂Asante tu! Kwani lazima mtu uvae pete vidoleni 😂
Kwan ukisema mmependeza kuna mtu atazimia uongoUchokozi tu....
Wamependeza

Hahahah haya bana we ata ukitembea na chupi ni uamuzi wako tuMswahili akishakosa kazi ya kufanya atakwambia hata kuvaa nguo una lako jambo 🙂
Mkuu biashara ya hayo mazao inalipa sana enh? Unaweza nipa mchanganuo wake kama hutojali?
Aya banaFree labourView attachment 1696799
Nakuja deakaribu tumalizie !
SYB sasa hivi ndo naona tag yako.
Aah biscuit