qeen jojo
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 1,246
- 3,729


Hahahahahahahahahahaha.......bhageshi nipo nakula mno ila mwili wangu ulisha goma kabisa kunenepa hata sijui kwa nini tu.Ongezea kupiga msosi bro. Mwili niliouona siku ile ukiwa umepigwa na Malaria siyo mwili wa Kisukuma ule. Hatuna Wasukuma wenye miili kama ya akina Kagame sisi![]()
Hahahahahaha
😊😊Vidole ivyo....![]()
Mtu aliyelala hapo kitandani ni me au ke?


wee ni mfukunyuku mno lol, anywaySema hapo kwa dagaa umeharibu.
Gentle
Mtu anayeweza kumfikisha mwenzie mawenziwee ni mfukunyuku mno lol, anyway
Ni mtu anayeweza kumfikisha mwwnzie mawenzi.

Mtu anayeweza kumfikisha mwenzie mawenzi
Mawenzi ni wapi na mimi nilale pembeni yako ili nikiamka nikufikishe?





wee thubutu mie parking imejaa, tena mie ni jimbo halali la mheshimiwa fulani aliyepita kwa kura nyingi na kishindo kikubwa. Kwahiyo swez kuuza nafas kwa mgombea mwingine. 





nna Pete kidoleni, usaliti kwangu sijafunzwa.