cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,301
Nini wee Ngosha unatumbua macho km panya aliyebanwa na mlangoAiseeeeee!!![]()








.Nini wee Ngosha unatumbua macho km panya aliyebanwa na mlangoAiseeeeee!!![]()








.Haswaaaaah babu na iwe hivyo.Nimekoma komani![]()
Beer sio tamu ina chacha hatareeeeh,Aisee
Leo manara sina neno.
Hakuna aliye upande wangu.
Babuuuh naomba niagiziee na mie.Huku ziko hiviView attachment 1693900
Sabuni ya roho.Still on bed counting my blessings View attachment 1693968
Wapi huku dea?
Mapera.
Oooooh kumbe sawa dea,
ParachichiMapera.
Wao wanasema tamuBeer sio tamu ina chacha hatareeeeh,

Wala hata afu inaleta kichefu kichefu, mie nliwah onja kidogo tyuh, aaaaah nusu nitapike.Wao wanasema tamu![]()
Oooooh kumbe ndo hayo, mie hata sikua najua parachichi ikoje ktk maisha yangu yote.Parachichi