Amisi Tambwe.
Jina lako liltatajwa mara kwa mara mfululizo kwa muda wa miaka 3.
View attachment 1693009








NdiyoHilo ndo gauni la Yesu ndie mwamba..?
Nitamshonea..Ndiyo
Mkeo halimtoshi nimgawie???
Naye awe na Yesu ni mwamba hata moja
Wakati anasubiri jingine atavaa hiliNitamshonea..
Unataka kunitafutia lawama wewe hawezi kuvaa hilo nitaulizwa mno limetoka wapi..? Kwanini..? Kwa Nani..? Saint Anne ni Nani kwako..?! Mlianza lini...? Umejuaje hili gauni ni la Yesu ndie mwamba kupitia saint Anne..??🤣Wakati anasubiri jingine atavaa hili
😀😀😀Umeharibu hiyolol
Unataka kunitafutia lawama wewe hawezi kuvaa hilo nitaulizwa mno limetoka wapi..? Kwanini..? Kwa Nani..? Saint Anne ni Nani kwako..?! Mlianza lini...? Umejuaje hili gauni ni la Yesu ndie mwamba kupitia saint Anne..??![]()
Nitapata challenge sana..![]()




Ha ha! Unataka hiyo nafasi ili uharibu mambo..🤣🤣
Akisema ni nani unamtajia ID yangu aje niuliza mimi ni nani
Kabisa ni kea ajiri yenu tyuuh nyie lol
Nyie ndo mnaosababisha viti virefu tutengwe wavutaji
Huhisi kichefu chefu kutaka kutapika?


Babuuh Mshana Jr naomba ufafanuzi kutoka kwako tafadhariView attachment 1693171
Kweli kabisa mjukuu kasoro mimi tuu



eti kasoro wee tyuuh, lol sio wee ndo nabii wa suala hilo?