Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Heee kumbe....bado sijapata blaza.

Hauna Rafik yako mrefu mrefu kidogo ambae haongei SAN kama wewe😅
Mi sio muongeaji ila ni muandikaji elewa hilo kwanza!
Ninae mwenye sifa hizo ni mpole lkn sijuagi kwanini huwa anakamatwa anaiba kuku! Mi nahisi huwa wanamsingizia! Ngoja nitampa namba yako najua tukiwafanyia maombi mtawezana tu dada..😂
 
Mi sio muongeaji ila ni muandikaji elewa hilo kwanza!
Ninae mwenye sifa hizo ni mpole lkn sijuagi kwanini huwa anakamatwa anaiba kuku! Mi nahisi huwa wanamsingizia! Ngoja nitampa namba yako najua tukiwafanyia maombi mtawezana tu dada..😂
Vigezo vyote vimeenda kwa kipenzi changu.
Huyo muiba kuku mwambie kideri kimeanza.sijui ataiba nini jamani..
 
Wa jang'ombe
Screenshot_20210131-220228.png
 
Back
Top Bottom