cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,299
Kwahiyo unataka kusemaje??Umeona kama mbinguni mbali... Huyo ni musa na dhambi yake moja tu
story imenitoka..nimesoma Bible kitambo.NdiyoHapa soko la mwanjelwa au?
Safi.Eenh.. Ndo hivyo aseee...
Vip leo umegoma kulala
Kwenye hili tupo wengi tunao jipangia umri fulani tuanze kumtumikia mungu💫☀️🤔😢✨neema yake ituokoe tu.Mungu anasamehe na kusahau kabisa.
Waraka wa kwanza wa Yohana kwa watu wote.
1:8
Tukisema kwamba hatuna dhambi,twajidanganya wenyewe,Wala kweli haimo mwetu.Tukiziungama dhambi zetu,Yeye ni mwaminifu na wa haki hata atuondolee dhambi zetu na kutusafisha na udhalimu wote.
Hata mtu akiwa ndani ya Kristo ya kale yote hupita na tazama huwa mapya.
1yohana 2
Yeye asemaye nimemjua Mungu Wala hazishiki amri zake,ni mwongo Wala kweli haipo ndani yake.
Amri kuu ya kwanza ya Mungu iliyojumlisha zote..
"Mpende Bwana Mungu wako kwa Moyo wako wote kwa nguvu zako zote na kwa akili zako zote.
Injili ya Yohana anasema"mkinipenda mtazishika amri zangu'
Pia sehemu nyingine anasema Msidanganyike Mungu hadhihakiwi..chochote apandacho mtu ndicho avunacho.
Kuna watu wamejipangia tu yaani anasema nikifika 50 ndio nitaokoka. Wacha nile dunia.. neema si ipo!
Mungu hadhihakiwi..ukimpenda lazima ufwate maagizo yake.
Roho mtakatifu ni mwaminifu Sana.Sawa nimefurah kufahamu hayo,
Ngoja niendelee kujijenga kiroho.

Haya mawazo ndo chanzo cha uchafu wa roho zetu.Roho mtakatifu ni mwaminifu Sana.
Anatusaidia kwenye udhaifu wetu maana hatujui kuomba vile itupasavyo
Roman8:26
Hivyohivyo ulivyo anakusaidia maana ndiye msaidizi na kazi yake ni hiyo kwa sababu tu dhaifu na kama tusingekuwa dhaifu basi kusingekuwa na haja ya yeye kuwepo.
Mtumie katika yote.
Ila ana sharti gumu..hakai mahali pachafu
Unlalaje saa hizi kwa mfano bestiNdoto njemaView attachment 1689542
Kumbe nimepatia ooooh.Ndiyo
Kwaio habari na mke wake ndo ziliishia pale au baadae walikuja kumtumikia mungu pamoja?Huwez amin hiyo movie nimeicheki nikiwa mdogo na leo nimeiangalia 😅
Yeah musaa alipotoroka misri alienda midian akaoa huko mwanamke anaitwa zipporah akamzaa Gershon kama sijakosea na mwingine
Mungu👈Anakumbuka fadhilaWe Musa asingeenda kwa shetani hata kidogo mungu anakumbuka fadhila,
Sasa kwanini mungu alichagua wateule tu, kwanini wengine waangamie na kuteseka milele?
Silali kuna mechi ya mchangani mkuuUnlalaje saa hizi kwa mfano besti


Yeah au wawe clear kuhusu mada zinazotakiwa umo sio kuliondoa.Mod waliludishe tuu...
Ungakijua saa ambayo mwivu yuaja kuiba,ungelikesha ukimngoja.Kwenye hili tupo wengi tunao jipangia umri fulani tuanze kumtumikia munguneema yake ituokoe tu.