Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ungakijua saa ambayo mwivu yuaja kuiba,ungelikesha ukimngoja.
Ungelijua saa ambayo utaibiwa ungelikaa ukiwa tayari.


Ni nani aijuaye siku ya kurudi mwana wa Adamu?hata malaika Mbinguni hawajui.

Kuna tenzi moja inaitwa liko lango moja wazi...ubeti wamwisho(4)
Hima ndugu tuingie lango halijafungwa
Likifungwa Mara moja halitafunguliwa"


Pia ukipata muda soma habari za Batimayo na tajiri.

Ukipata muda soma pia mpanzi (The parable)
Hii akiba na najiwekea nitavipitia kila kimoja na wakati wake,
Vipi mti ambae haendi kanisani lakini anaomba yeye kama yeye ana nafasi kwa mungu?
 
Hii akiba na najiwekea nitavipitia kila kimoja na wakati wake,
Vipi mti ambae haendi kanisani lakini anaomba yeye kama yeye ana nafasi kwa mungu?
Ebr 10:25
"Wala tusiache kukusanyika pamoja,Kama ilivyo desturi ya wengine,bali tuonyane;na kuzidi kufanya hivyo,kwa kadiri mwonavyo siku ile kuwa inakaribia".

Neno la Mungu linatushauri hivyo

Unakuta mtu ndiyo ni kweli kabisa anaomba sana..na MUNGU amemsikia.
Akasema na mtumishi wake fulani kuhusu kilio na maombi ya huyo mwombaji.
Mtumishi anasimama anaenda kusema madhabani(Mungu amepitisha majibu ya maombi yako kwake)wewe haupo

Na ndiyo maana unakuta sometimes huko makanisani unakuta mtumishi anasema"Kuna mama hivi na hivi na hivi""halafu wewe hujaenda...upo kushandarize kivyako.. Mungu alishaachilia majibu ila hutaki kwenda kuyapokea.
(Sina maana ya kwamba Mungu anaachilia majibu kwa style hiyo tu)



Madhabahu ya Mungu ina nguvu..
Kuhani ana nafasi yake
Kila kitu kina nafasi na faida..na ndiyo maana hata zamani mahekalu yalikuwepo.
 
Back
Top Bottom