Unaona musa na kuongea na mungu kote still aliopotoka kidogo,
Alitubia lakini, mungu amasemehe.
Mungu anasamehe na kusahau kabisa.
Waraka wa kwanza wa Yohana kwa watu wote.
1:8
Tukisema kwamba hatuna dhambi,twajidanganya wenyewe,Wala kweli haimo mwetu.Tukiziungama dhambi zetu,Yeye ni mwaminifu na wa haki hata atuondolee dhambi zetu na kutusafisha na udhalimu wote.
Hata mtu akiwa ndani ya Kristo ya kale yote hupita na tazama huwa mapya.
1yohana 2:4
Yeye asemaye nimemjua Mungu Wala hazishiki amri zake,ni mwongo Wala kweli haipo ndani yake.
1Yoh 2:6
"Yeye asemaye ya kuwa anakaa ndani yake,imempasa kuenenda mwenyewe vilevile kama ayeye alivyoenenda"


Amri kuu ya kwanza ya Mungu iliyojumlisha zote..
"Mpende Bwana Mungu wako kwa Moyo wako wote kwa nguvu zako zote na kwa akili zako zote"
Injili ya Yohana anasema"mkinipenda mtazishika amri zangu'
Pia sehemu nyingine anasema Msidanganyike Mungu hadhihakiwi..chochote apandacho mtu ndicho avunacho.
Kuna watu wamejipangia tu yaani anasema nikifika 50 ndio nitaokoka. Wacha nile dunia.. neema si ipo!
Mungu hadhihakiwi..ukimpenda lazima ufwate maagizo yake.