Kuna watu wataenda,Kuna watu wanashindwa kuiona mbingu pia.
Wote Tutaenda kwa neema tu..si kwa namna yoyote tuliyofanya
Ni Neno la Mungu lililomjia Yeremia
Yeremia 1:4
Yeremia anasema "Neno la Bwana lilinijia na kusema,Kabla sijakuumba katika tumbo nalikujua,na kabla hujatoka tumboni,nalikutakasa;Nimekuweka kuwa nabii wa mataifa"
•Waraka wa Pili wa Paulo mtume kwa Timotheo 2:19-
"Lakini msingi wa Mungu ulio imara umesimama,wenye muhuri hii,
Bwana awajua walio wake.
Na Tena,
Kila alitajaye jina la Bwana na auache uovu.
•Ufunuo wa Yohana kwa watu wote
3:5
Yeye ashindaye atavikwa hivyo mavazi meupe,Wala sitalifuta kamwe jina lake katika kitabu Cha uzima,Nami nitakiri jina lake mbele za Baba yangu.
Aliye na sikio na asikie neno hili ambalo Roho ayaambia makanisa.