Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Distinctive unacceptable features
•Ulevi
•Udanganyifu

General unacceptable features
•(siitaji)
Hujawai kunywa pombe, hulka ya mtu ni very different sio kwamba ukinywa ndo unakua ivo la hasha,
Tena kuna watu wakinywa sasa ndo wanakuambia ukweli, wakiwa hawajanywa wanafichaficha, pombe ni ka starehe tu kazuri hakana shida🤓
 
Enwei,
Kuna mahali niliona andiko kama sio kusikia kwamba watakao ingia mbinguni mungu anawajua toka ata ulimwengu haujaumbwa,
Uoni kwamba mbingu sio ya kila mtu?
Kuna watu wataenda,Kuna watu wanashindwa kuiona mbingu pia.

Wote Tutaenda kwa neema tu..si kwa namna yoyote tuliyofanya

Ni Neno la Mungu lililomjia Yeremia

Yeremia 1:4

Yeremia anasema "Neno la Bwana lilinijia na kusema,Kabla sijakuumba katika tumbo nalikujua,na kabla hujatoka tumboni,nalikutakasa;Nimekuweka kuwa nabii wa mataifa"



•Waraka wa Pili wa Paulo mtume kwa Timotheo 2:19-
"Lakini msingi wa Mungu ulio imara umesimama,wenye muhuri hii,
Bwana awajua walio wake.
Na Tena,
Kila alitajaye jina la Bwana na auache uovu.



•Ufunuo wa Yohana kwa watu wote
3:5
Yeye ashindaye atavikwa hivyo mavazi meupe,Wala sitalifuta kamwe jina lake katika kitabu Cha uzima,Nami nitakiri jina lake mbele za Baba yangu.
Aliye na sikio na asikie neno hili ambalo Roho ayaambia makanisa.
 
Hujawai kunywa pombe, hulka ya mtu ni very different sio kwamba ukinywa ndo unakua ivo la hasha,
Tena kuna watu wakinywa sasa ndo wanakuambia ukweli, wakiwa hawajanywa wanafichaficha, pombe ni ka starehe tu kazuri hakana shida
"sio kwamba ukinywa pombe ndo unakuwa hivyo la hasha"

Sijaelewa
Yaani kwamba ukinywa pombe unakuwa hivyo vipi?

Ni starehe
Kila mtu kuna kile kitu anapenda,hiyo iko wazi.
 
"sio kwamba ukinywa pombe ndo unakuwa hivyo la hasha"

Sijaelewa
Yaani kwamba ukinywa pombe unakuwa hivyo vipi?

Ni starehe
Kila mtu kuna kile kitu anapenda,hiyo iko wazi.
Ukinywa pombe unakua muongo, uongo ni katabia tu ka mtu wala pombe Hai-influence uongo.
 
Enwei,
Kuna mahali niliona andiko kama sio kusikia kwamba watakao ingia mbinguni mungu anawajua toka ata ulimwengu haujaumbwa,
Uoni kwamba mbingu sio ya kila mtu?
Kina waitwa na wateule..
Pia kuna watu roho zao zimeumbwa kama za wanyama yani zinapotea tuu..

Ila mbinguni mbali hakuna mwenye uhakika wa kufika ni wachache sanaa kama mussa kidogo tu aende kwa shetani na mambo yote yale aliyofanya...
 
Kuna watu wataenda,Kuna watu wanashindwa kuiona mbingu pia.

Wote Tutaenda kwa neema tu..si kwa namna yoyote tuliyofanya

Ni Neno la Mungu lililomjia Yeremia

Yeremia 1:4

Yeremia anasema "Neno la Bwana lilinijia na kusema,Kabla sijakuumba katika tumbo nalikujua,na kabla hujatoka tumboni,nalikutakasa;Nimekuweka kuwa nabii wa mataifa"



•Waraka wa Pili wa Paulo mtume kwa Timotheo 2:19-
"Lakini msingi wa Mungu ulio imara umesimama,wenye muhuri hii,
Bwana awajua walio wake.
Na Tena,
Kila alitajaye jina la Bwana na auache uovu.



•Ufunuo wa Yohana kwa watu wote
3:5
Yeye ashindaye atavikwa hivyo mavazi meupe,Wala sitalifuta kamwe jina lake katika kitabu Cha uzima,Nami nitakiri jina lake mbele za Baba yangu.
Aliye na sikio na asikie neno hili ambalo Roho ayaambia makanisa.
Enhee maneno mazuri vipi kuhusu idadi?
 
Kuna watu wataenda,Kuna watu wanashindwa kuiona mbingu pia.

Wote Tutaenda kwa neema tu..si kwa namna yoyote tuliyofanya

Ni Neno la Mungu lililomjia Yeremia

Yeremia 1:4

Yeremia anasema "Neno la Bwana lilinijia na kusema,Kabla sijakuumba katika tumbo nalikujua,na kabla hujatoka tumboni,nalikutakasa;Nimekuweka kuwa nabii wa mataifa"



•Waraka wa Pili wa Paulo mtume kwa Timotheo 2:19-
"Lakini msingi wa Mungu ulio imara umesimama,wenye muhuri hii,
Bwana awajua walio wake.
Na Tena,
Kila alitajaye jina la Bwana na auache uovu.



•Ufunuo wa Yohana kwa watu wote
3:5
Yeye ashindaye atavikwa hivyo mavazi meupe,Wala sitalifuta kamwe jina lake katika kitabu Cha uzima,Nami nitakiri jina lake mbele za Baba yangu.
Aliye na sikio na asikie neno hili ambalo Roho ayaambia makanisa.
Neema huisha mtakatifu..
 
Kina waitwa na wateule..
Pia kuna watu roho zao zimeumbwa kama za wanyama yani zinapotea tuu..

Ila mbinguni mbali hakuna mwenye uhakika wa kufika ni wachache sanaa kama mussa kidogo tu aende kwa shetani na mambo yote yale aliyofanya...
We Musa asingeenda kwa shetani hata kidogo mungu anakumbuka fadhila,
Sasa kwanini mungu alichagua wateule tu, kwanini wengine waangamie na kuteseka milele?
 
Enhee maneno mazuri vipi kuhusu idadi?
Natamani usome aya ya mwisho tena.

Uliloongea wewe kwamba Mungu anatujua kabla ya hatujatungwa tumboni mwa mama zetu ni Yeremia

Soma Ufunuo wa Yohana na MUNGU wangu akubariki Sana.
Ni kitabu Cha mwisho kabisa kwenye Biblia
 
Back
Top Bottom