Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

We Musa asingeenda kwa shetani hata kidogo mungu anakumbuka fadhila,
Sasa kwanini mungu alichagua wateule tu, kwanini wengine waangamie na kuteseka milele?
Maandiko yanasema hivyo kama mussa alikuwa ni wa Mungu 100% kwann shetani alimgombania...???

Ndo ujue Mungu wa upendeleo anafanya haya yote ili tubaki kumshangaa tuu...
 
Natamani usome aya ya mwisho tena.

Uliloongea wewe kwamba Mungu anatujua kabla ya hatujatungwa tumboni mwa mama zetu ni Yeremia

Soma Ufunuo wa Yohana na MUNGU wangu akubariki Sana.
Ni kitabu Cha mwisho kabisa kwenye Biblia
Icho kitabu kinatisha dah,
Nilishawahi kukisoma mda mrefu kidgo nilikua naogopa kinoma.
 
Post #89, 111 uliongelea 'Udanganyifu'
Ni moja ya sifa nilizotaja kwamba siwezi zivumilia kwa mtu..

Nimeanza nikataja ulevi
Nikataja udanganyifu.



Ni Kama nyinyi mnavyotaja
Mf asiwe mfupi
Ama asiwe mweusi
Asiwe na mtoto.

Unaweza husianisha ufupi na weusi?
Au weusi na mtoto?

Sasa wewe umehusianishaje ulevi na uongo ??mbona Mimi sijahusianisha hapo?
 
Kuna watu wanasema tunaenda kwa Neema.
Ni kweli...hakuna mwenye mwili hata mmoja ahesabiwaye haki mbele za Mungu kwa matendo ya sheria.

Neema ya Mungu iwaokoayo wanadamu wote imefunguliwa...
Watu huwa hawamalizii kwamba Neema hiyo inatufundisha kukataa ubaya .....
Kwenda Mbinguni ni fumbo siku zote...

Maana hakuna aliyeenda akaja kutupa majibu kama kwenda kunahitajika ufanye kipi..

Sema shika sana ulicho nacho mwovu asijke akakudanganya. Huwez jua labda ndo tiketi yako..

Mfano kama unapenda kujali mayatima jali sanaa kwa nguvu zako zote mybe ndo tiketi yako hiyo..

#Amdone
 
Maandiko yanasema hivyo kama mussa alikuwa ni wa Mungu 100% kwann shetani alimgombania...???

Ndo ujue Mungu wa upendeleo anafanya haya yote ili tubaki kumshangaa tuu...
Shetani alimgombania kwa sababu ya kosa alilofanya kule jangwani

Kwenye ule mwamba (marah-bitterness)
Uliokuwa na maji machungu

But nadhani Musa alipata nafasi ya kutubu kabla hajakufa pale Moab....na kosa lile lilimgharimu Musa kutokuingia Caanan(the promised land)
 
Back
Top Bottom