Jack Palladino
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 7,245
- 22,552
malkia....usiku mwema nalala my Queen...asitokee mtu akakuibaAsante my king
O haleluyaaaEbr 10:25
Wala tusiache kukusanyika pamoja,Kama ilivyo desturi ya wengine,bali tuonyane;na kuzidi kufanya hivyo,kwa kadiri mwonavyo siku ile kuwa inakaribia.
Neno la Mungu linatushauri hiyo
Unakuta mtu ndiyo ni kweli kabisa anaomba sana..na MUNGU amemsikia.
Akasema na mtumishi wake fulani kuhusu kilio na maombi ya huyo mwombaji.
Mtumishi anasimama anaenda kusema madhabani(Mungu amepitisha majibu ya maombi yako kwake)wewe haupo
Na ndiyo maana unakuta sometimes huko makanisani unakuta mtumishi anasema"Kuna mama hivi na hivi na hivi""halafu wewe hujaenda...upo kushandarize kuvyako.
Madhabahu ya Mungu ina nguvu..
Kuhani ana nafasi yake
Kila kitu kina nafasi na faida..na ndiyo maana hata zamani mahekalu yalikuwepo.
kaka ww uko ugiriki huko.... niachie kwini wangu mkuu
mkuu hiki ni kihindi??Kal hoo na ho
Twende na emoji
Sawaa mpende tu usimuumize🚶♂kaka ww uko ugiriki huko.... niachie kwini wangu mkuu
nampenda sana
Ndiyo mkuu may be there tomorrow.. Now ni wako ila kesho wangu😎mkuu hiki ni kihindi??
Sasa je, baada ya mechi utalala unono besti,
Kuna usingiz afu kuna usingizi baada ya mechi ya kirafiki.



mkuu sisi ni mpaka kifo...keep waitingNdiyo mkuu may be there tomorrow.. Now ni wako ila kesho wangu![]()
Kizuri kula na nduguyo..mkuu sisi ni mpaka kifo...keep waiting
sema nimefurahi kuachiwa pisi kali kiroho safi
Ufu 2:10&11.Sijahalalisha dhambi ila kauli yangu ni mbinguni mbali
Ajidhaniae amesimama aangalie asianguke...Ufu 2:10&11.
"Usiogope mambo yatakayokupata ,tazama,huyo ibilisi atawatupa baadhi yenu gerezani ili mjaribiwe......."
"Uwe mwaminifu hata kufa ,Nami nitakupa taji ya uzima"
For with God all things are possible.
"Ili kila amwaminiye asipotee"
Yoh 1:1-
Wonderful night brother
Mkuu mkuu... 😀😀haya mambo hayaitaji hasira....
Mkuu Mgiriki![]()
Thanks alotx..Wonderful night brother