Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Sawa binamu, ngoja itokee fursa nije, lakini hata wewe unaweza kuja nitembelea banah kwani huku hakuna swimming pool
Nikija uko nitataka kwenda kupanda mlima binamu...kama utanipeleks kilamanjalo naja likizo ijayo mwenz wa6
 
Gucci gang eti ulikuwa na mpango ws kupits ukaons uweke pause hspa selfka kwanzanimecheka kwa sauti wallah
Eeh bhana
Sasa napanda kidogo naona mbna watu wanaquotiana nikibonyeza quote inazidi kunoga mpaka nikaona niweke kambi nipo huko juu juu huko mambo yalipochachamaaa
Na nahisi kawiki haka ntakua napita pita kidogo humu
Vp lakn u mzma?
 
Wala siwezi kujikweza humu, kwa kipi na ili iweje yaan? Hat siku 1 sijawahi na haitowahi tojea kumu hulkia m2 for nothing,.
Naishi maisha yangu, na kikubwa zaidi nipo very introvert, basi wao watu wa nje ndo wananifata mie,

Humu kuna m2 anajifanya yeye ni chizi, sasa mie kumbe ni kichaa zaidi yake, acha tuoneshane makali
Wengine kuweni wapoleeeeeh.
Kumbe introvert mko hivi sikujua
 
Eeh bhana
Sasa napanda kidogo naona mbna watu wanaquotiana nikibonyeza quote inazidi kunoga mpaka nikaona niweke kambi nipo huko juu juu huko mambo yalipochachamaaa
Na nahisi kawiki haka ntakua napita pita kidogo humu
Vp lakn u mzma?
Dah umenichekesha sana jmn

Sijambo mkuu
 
Tusipoteze lengo .....
Chat na picha
Snapchat-1164694960.jpg
 
Mkuu,
Binafsi wala sina shaka na akili kubwa Mungu aliyokupa, sina shaka kabisa. You're so exposed na dunia na ndio maana upo hapo ulipo, hoja yangu ni kuyaweka ya chumbani yabaki huko, zile picha mimi sikuzipenda na nilikuwa wa kwanza kukukrash. Hata kama umeamua kuwa shoga, basi sawa lakini usituonyeshe, tumekataa kuzitizama.

Hakuna atakayekupangia nini ufanye, ila content za kishoga tumekataa usipost humu. Mashoga humu wapo kibao, wezi, majambazi, malaya, wahuni..nk Ila tukae nayo huko.
Nimekuelewa haswaaah mkuu, tena uko sahihi kabisaaah, na nafahamu humu wapo watu wa kila aina, na najua privacy ni jambo la lazima kwa kila sehemu hasa suala nyeti (baya au zuri) ,

Nafahamu kuwa ni kosa picha za maudhui Yale kupost humu, na nimeshafuta na nimeomba msamaha kwa wadau wote wa huu uzi. Najua wamekwazika.

Ila naomba mtambue kuwa na mie ni binadamu mwenye moyo wa nyama pale attacks zinapokuja kwangu halafu kuwepo na matusi, kejeri na maneno mengine yasiofaa huwa nakwazika na kuumia. So huwa najibu mashambulizi kwa namna yeyote kwa hali nitakayokua nayo wakati huo.

Kutoa hoja ya mabadiliko kwa m2 sio kejeri na maneo mabaya, mbna kuna mbinu za kistaarabu tyuuh na ikaeleweka. Kuliko kutoa rubbish zisizo na maana.

Halafu km kuna m2 anakwazika kupitia mie, simple tyuuh hii forum ina sett ya ignore na block, ku click tyuuh hizo sehem bas case kwisha, kuliko kila nakopita mie yeye ananifata kutoa attacks zake kwangu, mie huwa naenda nae vile vile km anavotaka.

Kila m2 ashinde match zake.
 
Back
Top Bottom