Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kama ni hivyo basi sawa. cocastic njoo ujishaue na uweke picha za mabasha yako humu. Tena weka hata zile ukipakuliwa mavi kabisa laivu na clips juu. Wananzengo kumbe wanaunga mkono. Case closed !!!
nimecheka km mwehu kwa hii comment, na nimerudia kusoma mara zaidi ya 3, khaaaaaah.
Sijafikia huko mie,

Kwani picha zisizotakiwa ni zipi? Kwahyo hat picha za watu wangu wa karibu nisiweke, au zenye maudhui ya jambo lisilopendeza machoni Pa watu?

Hebu kuwa wazi nijue.
 
Sote tu watenda dhambi ndiyo lakini hatuendi huko mitaani tukijishaua na kuringishia dhambi zetu. Au na wewe ni shoga? Kwa nini mnataka hawa mashoga wawe treated differently na watu wengine? Kisa tu wanafirana? Wana nini kinachowafanya wao wawe exceptional na ukiwakemea tu tayari unaandamwa?
Tatizo uelewa na pia hutaki kuelewa, kaa chini usome vizuri na utakafakari utapata kufahamu nini kina maanishwa.
 
Back
Top Bottom