qeen jojo
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 1,246
- 3,729
Sema kweli tenaNo iko wapi sasa wee, mie nikusababishie na ya kutolea,![]()
Sema kweli tenaNo iko wapi sasa wee, mie nikusababishie na ya kutolea,![]()
Asante mkuuMiguu mizuri dea,![]()
Hahhhah unakalia kuchart ata bdo ujala kale kwanza utaumwa madondaUwiiiiiih na venye njaa inauma, hadi nahisi kuna mtu anakwangua utumbo wangu lol.
![]()
Ndo naelekea huko kupata maakuli.Hahhhah unakalia kuchart ata bdo ujala kale kwanza utaumwa madonda
Huu ugali sio wa mkolani kweli?Tule kwanzaView attachment 1681999
Mimi SijamuelewaHakika umeongea point kubwa sana, km hujaeleweka hapa basi hawata elewa kamweeeh.
Jf bhna ni kiboko ujue unaweza jitapa uku kumbe una jran yako nakuchora tukwanini?


Haha usiwaze mi niko dar kula kwa kutulia😂😂😂Jf bhna ni kiboko ujue unaweza jitapa uku kumbe una jran yako nakuchora tu
bado natafakari jina mkolani tu
Unajua nimekumiss rafiki yangu kipenzi..loh imekuwa kitambo sana.Story na Selfie ,msisahau ,nawakumbusha tu
Ile ya kuniconnect na any single lady pale kazini kwako..Kazi gan hyo mkuu