Hapo sio kuhesabu haki mkuu ni kumueleza alichotenda kama kinafaa au hakifai...Mungu yupo just sio kwamba yupo stagnant kwenye sheria tu. Hukumu yake ni just na ya adiri.
Kosa moja halihalalishi kosa lingine..wewe kufanya kosa)dhambi fulani haimhalalishi huyu jamaa kufanya akifanyacho - tena kwa kujionyesha. Kila mtu ana dark side yake lakini wote tunayaficha...sasa je kwanini afanye hadharani kitu ambacho ni kinyume na Laws of nature...unajua madhra ya kuvunja Law of nature??? It must be respected and preserved!
Kusema hakuna dhambi kubwa na ndogo ni uongo na kamwe usijidanganye usitegemee mimi niliyemfyonza mtu nitahukumiwa kama atakavyohukumiwa mtu akiyefanya mass killing...Mungu anaema dhambi isiyosameheka ni dhambi ya Kumkashfu/kumkufuru roho matakatifu. There's always a price to pay once you go beyond Laws of nature.
Huyu mtu Kamkufuru roho matakatifu na Maandiko yapo wazi kabisa kwamba mtu atakayelala na mwanaume mwenzie au akaifanya mapenzi kinyume na maumbile dhambi Hiyo haisamehewi kamwe.
Walawi 20.
11 Na mtu mume atakayelala pamoja na mke wa baba yake amefunua utupu wa baba yake; wote wawili hakika watauawa; damu yao itakuwa juu yao.
Hatuhukumu tunaonyesha hali halisi ilivyo kutokana na maandiko...
Mchana mwema