Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Yeaah
FB_IMG_16110462021384149.jpg
 
Sasa km unakemea hilo na adhabu zake unazijua ni wazi ukaanza kutekeleza kwa vitendo, sio maneno tupu km serikali ya Tz inapinga kwa mdomo huku vitendo ni .

Mbona wapo wengi wanaojitangaza wazi wazi na sijawahi ona wakipewa hizo adhabu. Au mie ndio sielew?

Mf, James Delicious anajiweka wazi wazi na alishatoa maudhui ya hilo suala hadharani, kilichofuata kukamatwa na kuwekwa rumande siku 3 katoka nje yupo uraiani anaendelea na maisha yake,

Akaweka tena maudhui hadharan, akaamriwa fine 5Ml zikatolewa case kwisha, sasa hizo adhabu unazozisema wee kutoka wapi? Km kutoka ktk vitabu vya dini mbona sijawahi ona dini au dhehebu lolote kuwahi kutekeleza hizo adhabu, ingali wapo wanao onesha wazi wazi suala hili hadharani.

Ni muda sasa jamii iwe buzzy na mambo ya msingi na yenye tija ktk kuleta maendeleo ya Taifa kwa ujumla, na sio kuwa buzzy kupinga suala la rasilimali ya mtu binafsi, tena ikiwa hawawezi kutatua tatizo hilo kamwe, ni upotevu wa muda.

Live ur own lyf, n mynd ur own bznes.

Tunaishi mara 1 tyuuh..........
BAK si nilikuambia ukawa unanibishia haya sasa njoo huku
 
ndio mkuu hata title ya uzi huu umekaa kichoko sana Huyo choko wamemlea humu sana eti Leo ndo wanashtuka
Watu Wanajua jike kumbe dume, nenda kwenye ule uzi wa magari uone anavyodeka mule, Yan hutoaamini jaman.
Huyu mbona tangu kitambo tu wengine tunamfahamu
 
BAK si nilikuambia ukawa unanibishia haya sasa njoo huku
Wee na huyo unae mquote mna kazi kweli, mnabishana kuhusu jinsia ya m2? Tena hamjawahi kumuona? Mnaamini maandishi ya mtandaon nyuma ya ? Haya kazi ni kwenu endeleeni kubishana hivyo.
 
Watu Wanajua jike kumbe dume, nenda kwenye ule uzi wa magari uone anavyodeka mule, Yan hutoaamini jaman.
Huyu mbona tangu kitambo tu wengine tunamfahamu
Kwamba una amini kila kitu nachofanya n real? Sasa kwani kuna cha ajabu kipi? Hebu mniache bhana. Khaaaaah
 
ndio mkuu hata title ya uzi huu umekaa kichoko sana Huyo choko wamemlea humu sana eti Leo ndo wanashtuka
Eh eh jamani kama mmeamua kupambana na huyo mtoto basi pambaneni naye kivyenu msimhusishe na huu uzi

Huu uzi tuko nao humu tangu mwaka juzi tena hata kabla yeye hajajiunga JF na hakujawahi kuwa na shida

Mtu anatoka huko alikotoka kashashiba zake mmea uzi kaujua juzi anakuja kuropoka humu eti huu uzi ufutwe wtf

Wengine tunafahamu status ya huyo mtoto tangu muda mrefu na wapo waliojaribu kuongea naye ila imeshindikana

Wengine mmemfahamu juzi tu mnataka kuanza kelele eti tumemlea ninyi mnajua ni watu wangapi wamemkanya humu

Wameshindwa kumbadilisha wanaoonana naye kila siku ndiyo mtaweza kumbadilisha ninyi mnaobwata nyuma ya keyboard
 
Eh eh jamani kama mmeamua kupambana na huyo mtoto basi pambaneni naye kivyenu msimhusishe na huu uzi

Huu uzi tuko nao humu tangu mwaka juzi tena hata kabla yeye hajajiunga JF na hakujawahi kuwa na shida

Mtu anatoka huko alikotoka kashashiba zake mmea uzi kaujua juzi anakuja kuropoka humu eti huu uzi ufutwe wtf

Wengine tunafahamu status ya huyo mtoto tangu muda mrefu na wapo waliojaribu kuongea naye ila imeshindikana

Wengine mmemfahamu juzi tu mnataka kuanza kelele eti tumemlea ninyi mnajua ni watu wangapi wamemkanya humu

Wameshindwa kumbadilisha wanaoonana naye kila siku ndiyo mtaweza kumbadilisha ninyi mnaobwata nyuma ya keyboard
Unautetea sana huu uzi.😂
Nami nasema ufutwe tu...😀😀
 
Back
Top Bottom