Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ah hapana kwa kweli huu uzi naupenda sana
Haiwezekani mtu anatoka huko anasema eti ufutwe kwa sababu za kijinga tu

Halafu wengi mnaotaka huu uzi ufutwe ni wale waumini wa ule uzi wa Umewahi kula tunda kimasihara
Wivu tu unawasumbua ndiyo maana uzi wenu uliunganishwa hamna hata vya maana mnavyoandika mule utopolo tu

JF nyuzi za kudumu za maana ni
Selfika
Kupeana likes
Road trips
Usiku wa manane
Vituko mitandaoni
Makapuku
Angalau na zile special threads za timu za mipira

Huo wa kwenu hauna lolote bora hata ule wa Wa mwisho ndiyo mshindi
Kama ule wa mapicha ya wadada mpaka Leo hii haujafutwa na hakika huu hautafutwa milele.
 
Hongera mommy tena uwaambie, wapambane na mie binafsi, uzi hauuhusu chochote, halafu mbona forum ina sett ya ignore na block au hawajui matumizi yake?

Kwa maelezo haya, vipi unataka nikupe zawadi gani? Hakika Elimu na Exposure kwako vinafanya kazi ipasavyo.
Achana nao dear! Atleast jaribu kufuata ushauri wa wale wote waliokuwa wanaongea na wewe na kukukanya kwa ustaarabu hao wako right!

Ila siyo hawa waliokazana kutukana mitusi! Eti oh uzi ufutwe umekaa kichoko yaani mijitu ina midomo michafu kama vyoo vya stendi!
 
Huu uzi sasa hivi unanuka, nasema ufutwe.

Kutoka kuwa uzi wa kujimwambafy hadi ushga
Mbaya zaidi mnaendelea kucheka nae
Ila ule wa kula tunda kimasihara ndio haunuki

Uzi umejaa uzinzi na umalaya tu mwingine eti mwanaume mzima anajisifia kupigwa mtungo na wanaume wenzie

So disgusting

Hebu mtuache na uzi wetu mtulie hivyo hivyo
 
Ila ule wa kula tunda kimasihara ndio haunuki

Uzi umejaa uzinzi na umalaya tu mwingine eti mwanaume mzima anajisifia kupigwa mtungo na wanaume wenzie

So disgusting

Hebu mtuache na uzi wetu mtulie hivyo hivyo
Ila huo uzi me sio mdau.
Halafu sikujua uzi wa kuweka mizigo umerudishwa.😂🕺
 
Achana nao dear! Atleast jaribu kufuata ushauri wa wale wote waliokuwa wanaongea na wewe na kukukanya kwa ustaarabu hao wako right!

Ila siyo hawa waliokazana kutukana mitusi! Eti oh uzi ufutwe umekaa kichoko yaani mijitu ina midomo michafu kama vyoo vya stendi!
Yeeeaaah mommy afu me ni muelewa sana, na ninafuata ushauri wa wale wenye hekima na busara,
Ila hawa makurubembe yenye stress za maisha huwa nawapa stahiki zao wanabaki kuteseka tyuuh.
 
Ah hapana kwa kweli huu uzi naupenda sana
Haiwezekani mtu anatoka huko anasema eti ufutwe kwa sababu za kijinga tu

Halafu wengi mnaotaka huu uzi ufutwe ni wale waumini wa ule uzi wa Umewahi kula tunda kimasihara
Wivu tu unawasumbua ndiyo maana uzi wenu uliunganishwa hamna hata vya maana mnavyoandika mule utopolo tu

JF nyuzi za kudumu za maana ni
Selfika
Kupeana likes
Road trips
Usiku wa manane
Vituko mitandaoni
Makapuku
Angalau na zile special threads za timu za mipira

Huo wa kwenu hauna lolote bora hata ule wa Wa mwisho ndiyo mshindi
Douta usifananishe kula tunda kimasihara na mambo ya ajabu
 
Ah hapana kwa kweli huu uzi naupenda sana
Haiwezekani mtu anatoka huko anasema eti ufutwe kwa sababu za kijinga tu

Halafu wengi mnaotaka huu uzi ufutwe ni wale waumini wa ule uzi wa Umewahi kula tunda kimasihara
Wivu tu unawasumbua ndiyo maana uzi wenu uliunganishwa hamna hata vya maana mnavyoandika mule utopolo tu

JF nyuzi za kudumu za maana ni
Selfika
Kupeana likes
Road trips
Usiku wa manane
Vituko mitandaoni
Makapuku
Angalau na zile special threads za timu za mipira

Huo wa kwenu hauna lolote bora hata ule wa Wa mwisho ndiyo mshindi
kula kimasihara for everybody
 
Karibu
20210119_160624.jpg
 
Back
Top Bottom