Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,254
Kwanza ukifika unaulizwa wewe Ni nani?aisee mambo ya mahari bana hua yananifurahisha Sana Mara utasikia mkaja wa mama hahaha unazidi toa hela tu ..Mimi nikija kwenu nikiona invoice inazidi nasimama nasema jamani naona kuoa bint yenu haikua ridhki yangu nimeshindwa![]()
Unajibu"Billdrago"
Ndio nani?

hapo ujue wanataka hela






