Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ndiyo maana nasema watoto wa kishua hamuwezi kuelewa

Watu siyo kwamba hawali eti kwa sababu ni wa dar hela mjini ngumu mama

We husikii siku hizi hadi wanachuo wanashindia mihogo unafikiri wanapenda

Tunajipa tu moyo kuwa anayekula mahindi na ugali wote sawa (sembe ni sembe tu)
chuo mm nilikuwa nakula wali wa buku nashushia na maji yangu ya kisimani yaliyojaa chumvi kemkem nayachemsha safii.

Watu wa dar wanakula kwa sababu wanapenda tu kula hivyo..yaani mambo ya mjini haya
 
Are u there
IMG-20210118-WA0014.jpeg
 
Back
Top Bottom