Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,516
- 235,229
Halafu sasa siku zile si ulinipa namba hapa [emoji23]nikaiscreenshot nikajisemea ntasave siku yoyote.Sasa Bwana kuna siku si watoto wameshika Simu wakafuta futa baadhi ya picha,nayo ikafutika[emoji134]mbona hukunipa taarifa au umenitosa kimya kimya [emoji1787]