Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,541
- 88,494
Ndiyo hapo Nyamanoro auMkuu idadi ya Kona huo mlima Iringa -dom (wanauitaje jina limenitoka) huwezi linganisha na kitonga.
Acha kabisa,mlima una Kona zaidi ya 50
Tena Kona kali,kitonga haoni ndani.
Kuhusu kuchochora inakuwa Mungu tu aingilie Kati..usiseme eti Bora uchochore huko Mtera kuliko kitonga,,hivi kule chini korongoni umewahi chungulia vizuri kweli???na panachukua muda mrefu Hadi kuzimaliza zile Kona.
Kwani panachukua Dakika ngapi


#IfNotNowWhen?

