Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it


JPEG_20210116_162736_5448898906382830592.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uko vizuri sana kwenye mipango Grahams 🙂👊🏾👊🏾 Alafu mara paaap nasahau kilichonipeleka narudi na Mcomoro 🙈🙈
Hapo unakuwa hujatutendea haki, unatakiwa ukirudi unakuja na jibu la Ndiyo ili mipango ifanyike haraka upelekwe Vacation Egypt ukaone Pyramids na mahali ambapo Mosses aliongea na Mungu.

Ushindwe wewe tu 😜😜
 
ila kote Kuna hatari Sana kitonga pale kila dereva Yuko Makini ni ni nadra kukuta ajali
Kuna jamaa pale juu amesema eti afadhali hizo za Mtera,nikamuuliza alishawahi kuona korongoni kulivyo??
Zote tu ni hatari..kitonga juzi Kati Kama si mwaka jana basi ni Mwaka juzi,bus liliporomokea huko chini na hakuna aliyekufa.
 
huyu jamaa anakuaje gay then proudly kabsa....angekua wa mbeya huyu ningeenda malawi niitwe Gerald kamunzu Banda tuu....


nimefurahi sana kusikia hatoki Mbeya....aka mundu ujhuu kinyamana
Mkuu acha kumuita mwenzio kinyamana
Ni dhambi, binadamu wote ni sawa regardless ya mapungufu na madhambi tunayoyatenda.
 
Back
Top Bottom