Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

..[emoji173]
Screenshot_20210114-200049_Samsung%20Music.jpg
 
Hiyo siku nilikuwa na vibe la kufa mtu[emoji23][emoji23][emoji23]
Mambo yangu yalikuwa yamekamilika Dodoma,si nikaenda fellowship usiku wa mkesha wa Christmas aiseee..hakuna siku nimecheza Kama hii.

Ule ukucha nilitafuta kitambaa nikafunga..nilitamani niende kuzibandua usiku uleule
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa wee wa kuruka ktk kusifu na kuabudu, ilawaje na hizo fake kucha? Jah akakuonesha kuwa haupo real kwa siku hiyo. Uwiiiiiiih
 
Back
Top Bottom