donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,257
- 22,130
Kweli January ngumu , asubuhi hii Kuna jamaa kataka aniuzie Paka, nikamwambia home hatuna panya.. Akashusha bei akasema panya atawaleta Baadae jioni..
Njaanuary ngumu sana hakuna hata chaguzi wala teuzi..hivyo tenda zimekauka kabisanaona ilikuwa na hamu na pilau kuku. Sema wewe hushindwi kupata kuku wakula utakuwa hujaamua



Ni noma.January siku hazitembei kabisa
Ndyo time adopt, karibu umuone baby boe wangu.hongera had mtoto mnae ww na mpenz wako..



Kabla hujaanza na mie utaanzwa wee,poa naanza na ww



kurupuka tyuh hivyo km bao la kwanza, msieeeewNiende wapi wee babuuh, mie ninao ule wa asili, huu wa kusomea je nikidisco huon ntakua nimepoteza muda?Twenzetu basi....






Hapo kwenye kupewa kishaurwa ni mtihani kidogo.Uko nami usijali nitakupa kishaurwaa cha kufaulu![]()






Hivi astashahada si ndio certificate halafu stashahada ni diploma au nachanganya madesa!sio astashahada lol
NjaanuatyMida yetu wakuuView attachment 1674573